RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 196
Kwani ukiwa Central Police si bado uko salama jamani? Si hawa jamaa wanalinda "usalama wa raia na mali zao?"
Correction please! Wanatakiwa kulinda usalama wa raia na mail zao sio wana-nasema hivyo kutokana na kuwa mara nyingi si wanachokifanya. Waulize waliokwishafika pale kwa makosa vipondo vinaanzia hapo labda Jerry atanusurika kwa kuwa ni public eye/concern
Jamani full taarifa vipi mlio karibu na vyanzo vya habari? Naweza kusema mpaka sasa tunajadili habari ya kusadikika til when proved otherwise