WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Nadhani wanajua.KWANI MATUSI NI MAKUBWA ILE MBAYA.YANASIKIKA VIZURI SANA.Nilidhani mimi pekee kumbe na wewe umesikia..Halafu kuna mtu kasikika akiwaamabia "Hivi mnajua yote mnayoonge yanasikika live hewani?"nadhani wanajua wanafanya nini.
Nilidhani ni miye peke yangu niliyekuwa nasikia mauzamauza wakati wa coverage ya tukio la sherehe za kuvishana nishani.Sikuamini kwamba watangazaji watarusha hadi maneno yaliyokuwa "siyo rasmi" kwa umma.
Kumbe nanyi mlisikia ehh/