consigliori
JF-Expert Member
- Mar 29, 2010
- 392
- 89
Kituo cha TV cha kutazama ni Mlimani TV tu kwa sasa, kutazama TBC ni kama tusikiliza radio uhuru!
Nafikiri nyie wanachuo mngekazana na kusoma muanchane na ushabiki.Mlimani tv!!!!!!!!,sisi wanaudsm wenyewe hata hatuipendi.Huwezi kukuta mwanachuo anaangalia hyo channel.Tbccm imeisha kwanza inatuaibisha hata kuwa kwenye dstv coz haijakizi viwango,toka tido aondoke nayo ndo ubora unashuka.
sio imekua kama,ila kwa sasa ni idara kuu ya propaganda za chamaImekuwa kama idara ya propaganda ya chama fulani kikubwa cha siasa