Siku zote watawala huwa hawapendi kuona upande wa pili wa shilingi wanataka kuonyeshwa gwaride la mapokezi ya rais na wasikie mizinga ishirini na moja hapo utawapata watacheka hadi uone meno selasini yote mbili.
Du TBC watanyamaza lkn TV za nje na mitandao tunaona km alivyosema Mjepu Al-Jazeera wapo Live huko Cairo CCN nao wanasema waandamanaji zaidi ya milioni moja leo wapo na hawatatika hapo Tahrir squarempaka Mubarak aliyeshinda kwa kishindo aachie ngazi
Hata hivyo wanaonyesha kwa mashaka mashaka kuna jinsi wakuu wameshawapa tahadhari. Ila kama una kingamuzi cha star times usipate shida just fungulia aljazeera utaona Live kuanzia asubuhi mpa usiku. Hata sasa ndo ninaangalia
Aaah! Sisi huku walitungeleja kwa vile hata taarifa ya habari yenyewe hatukuona. Ila kwa zama za kisasa ni ngumu kuzuia screen kwa taulo mkuu. Watu lazima tutaona tu.
The one party system radio has responsibility. The main ojective is to supress peoples cosciousness for the benefit of the ruling party so that there shall be no or limited oposition. Is TBC for multi party?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.