only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Hivi karibu TBC1 imeanzisha kipindi kinachorushwa kila Jumamosi saa 1 usiku chenye jina 'Huku ndio Kwetu',ambacho kinawatembelea na kuwahoji watu hasa wanaoishi maeneo ya uswahilini kama Mbagala,Gongo la mboto nk kwa hakika hiki kipindi ni aibu kwa kituo kikubwa kama hiki...kipindi kinafanana kwa kila kitu na kipindi cha uswazi kinachorushwa na EATV...najiuliza
- Huyo mhariri wa vipindi hakujua kuwa ni photocopy ya EATV
- Au ni dhambi ya kumchakachua TIDO ndio inawala