Lamchina
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 240
- 120
Tangu walivyodanganywa kutoka EAST Africa TV kuhamia TBC wanaonyesha michezo ya kitoto, Walipokuwa East Africa TV walikuwa wanakosoa serikali, matumizi mabaya ya ofisi na uongozi, wanaelimisha jamii, na mambo mengi yenye manufaa katika jamii ya watanzania n.k. Kweli jamii ilikuwa inasubiri kipindi kwa hamu, Lakini siku hizi ni kichefuchefu tupu, naona bora mjivue GAMBA kama wakubwa zenu waliowajiri!!!!!!!!