uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,653
- 26,388
Jamani ndugu zanguni, mimi sijui kama mna uchungu na mwenendo wa hii serikali kama mimi, nimeangalia habari TBC leo jinsi ambavyo wanatangaza etc, very stupid and no creativity, nafikiri mkurugenzy wake ameamua kutotumia akili yake kabisa, ***** mtupu!
Wanatangaza habari au wanajaribu kuwa wana CCM wa serikali corrupt ya Kikwete? naona watangazaji wake wamefikia hatua ya kuongelea and in a way if you read between the line kuwashauri madaktari wasigome, haya mi madudu na ujinga ambao hata mwanangu wa miaka 10 hawezi kufanya.
Wanaongea tu kuwa watu wanakufa, na kuwalaumu madaktari, can you imagine hii ni demand ya watu over 40,000 against 2 people ambao wanataka watu wa 2 tu wajiuzulu, ni lawama kwa madaktari kugoma watu wanakufa, lakini sio lawama kwamba inasababishwa na kukumbatia mawaziri wawili corrupted wa serikali corrupted!
Halafu hawa vilaza wakati mwingine wanatangaza kitu kingine, na kuweka video au taarifa tofauti na kile wanachotangaza, then wanasema kumradhi ..... very stupidy, nilikuwa sina uwezo wa kuweka DSTV kwangu, ila nimempigia Babu yangu nampa STAR times yangu then kwa udi na uvumba niweke DSTV.
My take:
Siku inakuja, nayo yaja, ambapo HAWA wote tuta wa Libya, subirini tu, nimechoka na huu ujinga.
Nawasilisha wakuu
Wanatangaza habari au wanajaribu kuwa wana CCM wa serikali corrupt ya Kikwete? naona watangazaji wake wamefikia hatua ya kuongelea and in a way if you read between the line kuwashauri madaktari wasigome, haya mi madudu na ujinga ambao hata mwanangu wa miaka 10 hawezi kufanya.
Wanaongea tu kuwa watu wanakufa, na kuwalaumu madaktari, can you imagine hii ni demand ya watu over 40,000 against 2 people ambao wanataka watu wa 2 tu wajiuzulu, ni lawama kwa madaktari kugoma watu wanakufa, lakini sio lawama kwamba inasababishwa na kukumbatia mawaziri wawili corrupted wa serikali corrupted!
Halafu hawa vilaza wakati mwingine wanatangaza kitu kingine, na kuweka video au taarifa tofauti na kile wanachotangaza, then wanasema kumradhi ..... very stupidy, nilikuwa sina uwezo wa kuweka DSTV kwangu, ila nimempigia Babu yangu nampa STAR times yangu then kwa udi na uvumba niweke DSTV.
My take:
Siku inakuja, nayo yaja, ambapo HAWA wote tuta wa Libya, subirini tu, nimechoka na huu ujinga.
Nawasilisha wakuu