TBC aibu tupu - Maigizo matupu

uttoh2002

JF-Expert Member
Feb 3, 2012
14,653
26,388
Jamani ndugu zanguni, mimi sijui kama mna uchungu na mwenendo wa hii serikali kama mimi, nimeangalia habari TBC leo jinsi ambavyo wanatangaza etc, very stupid and no creativity, nafikiri mkurugenzy wake ameamua kutotumia akili yake kabisa, ***** mtupu!

Wanatangaza habari au wanajaribu kuwa wana CCM wa serikali corrupt ya Kikwete? naona watangazaji wake wamefikia hatua ya kuongelea and in a way if you read between the line kuwashauri madaktari wasigome, haya mi madudu na ujinga ambao hata mwanangu wa miaka 10 hawezi kufanya.

Wanaongea tu kuwa watu wanakufa, na kuwalaumu madaktari, can you imagine hii ni demand ya watu over 40,000 against 2 people ambao wanataka watu wa 2 tu wajiuzulu, ni lawama kwa madaktari kugoma watu wanakufa, lakini sio lawama kwamba inasababishwa na kukumbatia mawaziri wawili corrupted wa serikali corrupted!

Halafu hawa vilaza wakati mwingine wanatangaza kitu kingine, na kuweka video au taarifa tofauti na kile wanachotangaza, then wanasema kumradhi ..... very stupidy, nilikuwa sina uwezo wa kuweka DSTV kwangu, ila nimempigia Babu yangu nampa STAR times yangu then kwa udi na uvumba niweke DSTV.

My take:

Siku inakuja, nayo yaja, ambapo HAWA wote tuta wa Libya, subirini tu, nimechoka na huu ujinga.

Nawasilisha wakuu
 
Mkuu kwa nini usitulizane upange vizuri maneno yako ili thread yako ieleweke vizuri unaandika kama vile unaongea na simu.

kumbe umemwelewa, maana mtu anapoongea na simu huwa anaeleweka anaongea nini kwa yule wa upande wa pili.
 
naona watangazaji wake wamefikia hatua ya kuongelea na in a way if you rean between the line kuwashauri madaktari wasigome, haya mi madudu na ujinga ambao hata mwanangu wa miaka 10 hawezi kufanya.

Sio sahihi kabisa kwa new reader kujigeuza na kuwa new maker! Nimeona watangazaji wa TBC1 wakiongelea huu mgomo wa madaktari na kuchuwa side as if wana authority ya kufanya hivyo. Inawezekana wako kwenye upande wa propaganda lakini wakumbuke pia huku ni kudhalilisha taaluma yao pamoja na wao binafsi.

Tanzania kama jamii, hatuwezi kusonga mbele kama hatuongei kwa uwazi matatizo yanayotumbuka. Sasa hivi tuna mgomo, haijengi hata kidogo kwa chombo cha habari kufunika mambo. Mficha maradhi kifo humuumbua.
 
Mkuu mwenyewe nilikua naangalia,tbc are finished,wametengeneza habari kuibeba serikali juu ya mgomo wa drs,lakini habari hiyo imekua kichekesho maana ualisia unaonekana!these people are so lumpen,hv bado hawaelewi tanzania ya sasa ni ya waelewa?Tiddo Muhando kuondoka kwako tbc ndio umeichimbia kaburi!
 
Nimewasikiliza wakuu na nime edit kidogo, I hope now inasomeka .....!
 
I salute you mkuu..TBC 1 ni janga kwa taifa kwasasa..jamaa ni boring sana,a lot of stupidy comments toka kwa watangazaji na sijui wanatafuta lini....
 
Tbc nimewaangalia leo they are pathetic!!! Grrrrr! Aibu aiubu kwanza hamna mpangilio wanasema hiki kinarushwa kitu kingine. Walipo haribu zaidi ni pale wale watangazaji walipokiwa wanaongea commentar zao, yaani eti wanawashairi ma Dr, nikajiuliza yaani hata kufikiri tu kwamba wanaongea utumbo...khaa, I can't explain.
 
Sasa unashadidia madaktari wagome ili iweje? Wewe unanufaikaje na mgomo huo? Kama ni siasa fanyeni siasa za kistaarabu,ikulu haipatikani kwa utovu wa nidhamu!
 
Kilichoboa zaidi katikati ya habari ingine kabisa wanaturudisha tena mwanzo kwa sakata la madaktari Lindi. Kuweka picha kumbe ni siku ya wanawake inaadhimishwa. Wanaishia kusema kumradhi. Stupid TBC mnalazmisha madaktari warudi kiaina. Wakuu madaktari kazeni buti mpaka kieleweke
 
mi nimeangaliaangalia taarifa ya habari ya tb2 nikaona upuuzi huo ikabidi nihamie tv sibuka nachek muvi la John Sena,
 
Inasikitisha bado tuna watu wa umri wako wenye mawazo ya Kizee, rudi kijijini ukakae na wazee wenzako, Masaburi wewe
 
Tatizo letu watanzania tumezoea kulia lia sana! Kama unaona haikutendei haki achana nayo, tune station nyingine! Hamna anayekulazimisha kuangalia TBC1
 
Ingekuwa ni private Tv wala nisingepata hofu! Haiwezekani iendeshwe kwa kodi zetu halafu watangazaji wafanye yasiyoeleweka. They should dedicate themselves in serving us and not otherwise
 
Wadau mwenzenu nipo gizani,umeme hakuna...wamenikatili hata habari sijaona,halafu masaburi ndio nini maana yake?
 
Kwahiyo tatizo lao wameshauri madaktari wasigome? Mbona mnachambua kishabiki sana, kwa mtazamo wangu na kama mmoja wa wanahabari naamini hatujafungwa kushauri jambo hasa linalohusu umma! Afu haitaingia akilini kuwapongeza madaktari wakati kuna watu wanateseka kwa kukosa huduma zao. Ofcoz naungana na madaktari katika kudai hak yao lakini pia haina maana nitachukizwa na maoni mengi. We must be flexible community to achieve our success.
 
Masaburi product ....!

Kwahiyo tatizo lao wameshauri madaktari wasigome? Mbona mnachambua kishabiki sana, kwa mtazamo wangu na kama mmoja wa wanahabari naamini hatujafungwa kushauri jambo hasa linalohusu umma! Afu haitaingia akilini kuwapongeza madaktari wakati kuna watu wanateseka kwa kukosa huduma zao. Ofcoz naungana na madaktari katika kudai hak yao lakini pia haina maana nitachukizwa na maoni mengi. We must be flexible community to achieve our success.
 
Wadau mwenzenu nipo gizani,umeme hakuna...wamenikatili hata habari sijaona,halafu masaburi ndio nini maana yake?

Kwa trend hii atakayefuatia ni waziri wa nishati!!
Baada ya Dr. Mponda kuondoka (kama Rais ataridhia) basi madaktari watasema hawawezi kufanya kazi kwa sababu hakuna umeme wa uhakika hivyo Waziri wa Nishati aondoke.

Hivi tunategemea TV ya Serikali kweli ishangilie mgomo dhidi ya serikali? Aaaah jamani kweli?
 
Back
Top Bottom