MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Kikao Muhimu cha bunge kinaendelea Dodoma na TV ya taifa ni lazima si ombi kuwaonyesha wananchi wake kitu ambacho wawakilisho wao wanakijadili Bungeni.
Cha ajabu hii tv inakatika katika na tangazo kubwa wanalotuwekea ni VAZI LA TAIFA. no excuse nothing, So shame for the great Nation which we are all proud of it.
DR's still on strike to wake up the Government
Cha ajabu hii tv inakatika katika na tangazo kubwa wanalotuwekea ni VAZI LA TAIFA. no excuse nothing, So shame for the great Nation which we are all proud of it.
DR's still on strike to wake up the Government