TBC 1 Matuko Yaliyotokea Arusha Mlichotuonyesha Kwenye TV Niuongo Mtupu!

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Siku ya jumapili ya tarehe 16 January kwenye kipindi chenu cha matukio yaliyojiri Arusha kati ya wanaharakati wa Chama cha Chadema na polisi kwenye kipindi chenu kwenye TV ya TBC 1 ni uchakachuaji mtupu! kwa mtu yeyote aliyenaakili kilichotokea Arusha ulikua ni uvunjaji wa haki za binadamu kwa polisi kuwapiga raia wasiokua na hatia, watu walishaapewa kibali cha kufanya mkutano na kuandamana bali polisi walitumia nguvu na ubabe kuwatawanya wafuasi wa Chadema kwa kuwapiga mabomu na kutumia risasi za moto pamoja na maji ya kuwasha, lakini katika kile kipindi kilichorushwa na TBC 1 sehemu kubwa ya matukio yote ilionyeshwa kua wafuasi wa Chadema ndio waliokua chanzo cha fujo hakuna sehemu niliona polisi wakiwa wanawapiga wafuasi wale kwa virungu nasema huu pia ulikua ni uchakachuaji kabisa kwakifupi mkanda ule waliufanyia EDITING na kuweka sehemu ya fujo kua ni Chadema tu ndio waliokua wanafanya fujo dhidi ya polisi. Nasema kuwa YOU CAN FULL PEOPLE SOMETIME! BUT YOU CAN NOT FULL PEOPLE ALL THE TIME!
 
tunawajua Tbc toka enzi za kampeni sio wakweli ina maana hawajui jukumu la vyombo vya habari ktika jamii au ndo uccm umewakaa cjui!!
 
"CAN FULL PEOPLE SOMETIME! BUT YOU CAN NOT FULL PEOPLE ALL THE TIME," JK NYERERE 1972.
TBC1 mnapoteza muda, mnakwenda out of professionalism, hamjawa objective kuondoa baadhi ma scenes (omission) ili mtoe message ya kuwapotosha watu ni wendawazimu.Watanzania wengi wanajua ukweli kuhusu incident ya Arusha, it is the police forces waliochemsha kwa kuwashambulia na kuua watu waliokuwa wanaandamana kwa amani na tena bila silaha yoyote.TBC1 shughulikieni kuboresha zaidi vipindi vyenu na kufanya matangazo yenu yaweze kuonekana nchi nzima, na siyo kujihusisha na propaganda za kijinga.Isitoshe Tido Mhando ameshaondoka ambaye ndiyo aliifufua then then Radio Tz ambayo ilikuwa inaelekea kufa. So msipoangalia mtapuuzwa na watanzania ambao wa sasa wanahitaji facts na siyo rongo rongo.
 
TBC huo ni upuuuzi . Mbona kila kitu kilishaonekana? Hapa mnawajiliwaza wenyewe . We know everything and for sure your adultered videos wont change a thing
 
but mtu akivaa magwanda ya polisi hatakiwi kujihami hasa pale uhai wake unapokuwa hatarini?


ujihami iwaje simekubali kazi ya kufa, wajibu wako kufa

TBC kwa kweli wanasikitisha sana, Sijui kama TIDO bado yupo pale , isijekuwa wamebaki wazadiki tu pale
 
Siku ya jumapili ya tarehe 16 January kwenye kipindi chenu cha matukio yaliyojiri Arusha kati ya wanaharakati wa Chama cha Chadema na polisi kwenye kipindi chenu kwenye TV ya TBC 1 ni uchakachuaji mtupu! kwa mtu yeyote aliyenaakili kilichotokea Arusha ulikua ni uvunjaji wa haki za binadamu kwa polisi kuwapiga raia wasiokua na hatia, watu walishaapewa kibali cha kufanya mkutano na kuandamana bali polisi walitumia nguvu na ubabe kuwatawanya wafuasi wa Chadema kwa kuwapiga mabomu na kutumia risasi za moto pamoja na maji ya kuwasha, lakini katika kile kipindi kilichorushwa na TBC 1 sehemu kubwa ya matukio yote ilionyeshwa kua wafuasi wa Chadema ndio waliokua chanzo cha fujo hakuna sehemu niliona polisi wakiwa wanawapiga wafuasi wale kwa virungu nasema huu pia ulikua ni uchakachuaji kabisa kwakifupi mkanda ule waliufanyia EDITING na kuweka sehemu ya fujo kua ni Chadema tu ndio waliokua wanafanya fujo dhidi ya polisi. Nasema kuwa YOU CAN FULL PEOPLE SOMETIME! BUT YOU CAN NOT FULL PEOPLE ALL THE TIME!
mkuu niliiona ile ilichakachuliwa sana hata kwa akili ya kawaida si ya kweli na haikuwa kwenye maadili ya uandishi kwani msemaji alionekana kabisaa anaikandamiza chadema, ccm wanajimaliza wenyewe na kwangu mimi niliona ni upuuuzi tu! Tatizo hakuna watu makini ccm kabisaaaa bure!
 
Ilikuwa burudani nzuri kwa watoto wetu kama vile wanvyoangalia kipindi cha ITV cha 24
 
Siku ya jumapili ya tarehe 16 January kwenye kipindi chenu cha matukio yaliyojiri Arusha kati ya wanaharakati wa Chama cha Chadema na polisi kwenye kipindi chenu kwenye TV ya TBC 1 ni uchakachuaji mtupu! kwa mtu yeyote aliyenaakili kilichotokea Arusha ulikua ni uvunjaji wa haki za binadamu kwa polisi kuwapiga raia wasiokua na hatia, watu walishaapewa kibali cha kufanya mkutano na kuandamana bali polisi walitumia nguvu na ubabe kuwatawanya wafuasi wa Chadema kwa kuwapiga mabomu na kutumia risasi za moto pamoja na maji ya kuwasha, lakini katika kile kipindi kilichorushwa na TBC 1 sehemu kubwa ya matukio yote ilionyeshwa kua wafuasi wa Chadema ndio waliokua chanzo cha fujo hakuna sehemu niliona polisi wakiwa wanawapiga wafuasi wale kwa virungu nasema huu pia ulikua ni uchakachuaji kabisa kwakifupi mkanda ule waliufanyia EDITING na kuweka sehemu ya fujo kua ni Chadema tu ndio waliokua wanafanya fujo dhidi ya polisi. Nasema kuwa YOU CAN FULL PEOPLE SOMETIME! BUT YOU CAN NOT FULL PEOPLE ALL THE TIME![/QUOTE]

You have said it all hapo kwenye red.
 
"CAN FULL PEOPLE SOMETIME! BUT YOU CAN NOT FULL PEOPLE ALL THE TIME," JK NYERERE 1972.
TBC1 mnapoteza muda, mnakwenda out of professionalism, hamjawa objective kuondoa baadhi ma scenes (omission) ili mtoe message ya kuwapotosha watu ni wendawazimu.Watanzania wengi wanajua ukweli kuhusu incident ya Arusha, it is the police forces waliochemsha kwa kuwashambulia na kuua watu waliokuwa wanaandamana kwa amani na tena bila silaha yoyote.TBC1 shughulikieni kuboresha zaidi vipindi vyenu na kufanya matangazo yenu yaweze kuonekana nchi nzima, na siyo kujihusisha na propaganda za kijinga.Isitoshe Tido Mhando ameshaondoka ambaye ndiyo aliifufua then then Radio Tz ambayo ilikuwa inaelekea kufa. So msipoangalia mtapuuzwa na watanzania ambao wa sasa wanahitaji facts na siyo rongo rongo.
Infact mimi huwaga sipotezi muda kuwaangalia TBC especially habari zao.Sidhani kama kuna mtu yoyote huwa anapoteza muda kuangalia habari TBC.
 
Siku ya jumapili ya tarehe 16 January kwenye kipindi chenu cha matukio yaliyojiri Arusha kati ya wanaharakati wa Chama cha Chadema na polisi kwenye kipindi chenu kwenye TV ya TBC 1 ni uchakachuaji mtupu! kwa mtu yeyote aliyenaakili kilichotokea Arusha ulikua ni uvunjaji wa haki za binadamu kwa polisi kuwapiga raia wasiokua na hatia, watu walishaapewa kibali cha kufanya mkutano na kuandamana bali polisi walitumia nguvu na ubabe kuwatawanya wafuasi wa Chadema kwa kuwapiga mabomu na kutumia risasi za moto pamoja na maji ya kuwasha, lakini katika kile kipindi kilichorushwa na TBC 1 sehemu kubwa ya matukio yote ilionyeshwa kua wafuasi wa Chadema ndio waliokua chanzo cha fujo hakuna sehemu niliona polisi wakiwa wanawapiga wafuasi wale kwa virungu nasema huu pia ulikua ni uchakachuaji kabisa kwakifupi mkanda ule waliufanyia EDITING na kuweka sehemu ya fujo kua ni Chadema tu ndio waliokua wanafanya fujo dhidi ya polisi. Nasema kuwa YOU CAN FULL PEOPLE SOMETIME! BUT YOU CAN NOT FULL PEOPLE ALL THE TIME!


wakachukuwe mkanda channel ten!!!!!
 
YOU CAN FULL PEOPLE SOMETIME! BUT YOU CAN NOT FULL PEOPLE ALL THE TIME!

hicho kipengele hapo sijaelewa

au unamaanisha unaweza kuwashibisha watu mara mojamoja ni si wakati wote? hahahahahahahha
ila sasa haifanani na kichwa cha habari hahahahha
 
.nasema wafuasi wa chadema mlistail kupewa kichapo kikali kuliko icho mlichopewa, ihi nchi inaongozwa kwa sheria na kamwe hawatawaacha kama amtafuata utaratibu.
Siku ya jumapili ya tarehe 16 January kwenye kipindi chenu cha matukio yaliyojiri Arusha kati ya wanaharakati wa Chama cha Chadema na polisi kwenye kipindi chenu kwenye TV ya TBC 1 ni uchakachuaji mtupu! kwa mtu yeyote aliyenaakili kilichotokea Arusha ulikua ni uvunjaji wa haki za binadamu kwa polisi kuwapiga raia wasiokua na hatia, watu walishaapewa kibali cha kufanya mkutano na kuandamana bali polisi walitumia nguvu na ubabe kuwatawanya wafuasi wa Chadema kwa kuwapiga mabomu na kutumia risasi za moto pamoja na maji ya kuwasha, lakini katika kile kipindi kilichorushwa na TBC 1 sehemu kubwa ya matukio yote ilionyeshwa kua wafuasi wa Chadema ndio waliokua chanzo cha fujo hakuna sehemu niliona polisi wakiwa wanawapiga wafuasi wale kwa virungu nasema huu pia ulikua ni uchakachuaji kabisa kwakifupi mkanda ule waliufanyia EDITING na kuweka sehemu ya fujo kua ni Chadema tu ndio waliokua wanafanya fujo dhidi ya polisi. Nasema kuwa YOU CAN FULL PEOPLE SOMETIME! BUT YOU CAN NOT FULL PEOPLE ALL THE TIME!
 
TBC didi the best to show us what happened.....wametuonyesha jisi raia walivyovaamia na kuanzisha fujo isiyostahili....PONGEZI TBC.......KEEP IT UP
 
Baada ya kuona Mkanda uliochakachuliwa a.k.a editted wa TBC1 juu ya tukio la Arusha, ambao unaonesha habari ya upande mmoja tu kuwa Chadema ndio walioanzisha fujo, Mi nafikiri sasa ni wakati muafaka kwa Chadema kutuonyesha the other side of the story to balance the news. Kuna matukio kama polisi kuvamia kambi za watawa na kuwapiga watu waliokimbilia humo na kuwaumiza na kuwatelekeza bila msaada wowote. Je kuna yeyote aliyeweza kuyanasa matukio kama hayo atupatie??? Kama hakuna basi hili linatakiwa kuwa ni funzo kwa Chadema na vyama vingine vya upinzani kuwa wanapokuwa na matukio kama haya wajiandae kuwa na waandishi wa habari wa kurekodi matukio haya wakiwa undercover, ni muhimu saana ili kujibu matukio kama haya ya TBC1
 
Siku ya jumapili ya tarehe 16 January kwenye kipindi chenu cha matukio yaliyojiri Arusha kati ya wanaharakati wa Chama cha Chadema na polisi kwenye kipindi chenu kwenye TV ya TBC 1 ni uchakachuaji mtupu! kwa mtu yeyote aliyenaakili kilichotokea Arusha ulikua ni uvunjaji wa haki za binadamu kwa polisi kuwapiga raia wasiokua na hatia, watu walishaapewa kibali cha kufanya mkutano na kuandamana bali polisi walitumia nguvu na ubabe kuwatawanya wafuasi wa Chadema kwa kuwapiga mabomu na kutumia risasi za moto pamoja na maji ya kuwasha, lakini katika kile kipindi kilichorushwa na TBC 1 sehemu kubwa ya matukio yote ilionyeshwa kua wafuasi wa Chadema ndio waliokua chanzo cha fujo hakuna sehemu niliona polisi wakiwa wanawapiga wafuasi wale kwa virungu nasema huu pia ulikua ni uchakachuaji kabisa kwakifupi mkanda ule waliufanyia EDITING na kuweka sehemu ya fujo kua ni Chadema tu ndio waliokua wanafanya fujo dhidi ya polisi. Nasema kuwa YOU CAN FULL PEOPLE SOMETIME! BUT YOU CAN NOT FULL PEOPLE ALL THE TIME!

Kaka hiyo ni documentary ambayo imesambazwa kwenye vituo vyote vya TV, so sio ishu ya TBC kabisa
 
MABADILIKO YA KASI TANGU TBC MHANDO (HESIMA) HADI SASA TBC UJIMA (CCM PROPAGANDA)

Ndallo na wana jf wengine, kuhusu TBC1 na uchakchuaji wa habari kamili kule Arusha wal isiwape shida.

Tayari wasamaria wema wa jiji hilo wemeshafikisha mkanda mkali zaidi isiyofanyiwa mashahihisho kwa vyombo vya haki za binadamu vya kimataifa. Hata hivyo kwa kiwango hiki cha TBC kuanza kuporomoka maadili ya kazi yake kwa kueneza uongo na propaganda za chama kimoja hivi safari hii iko salama?? TBC baada miezi 36 tangu kuondoka kwa gwiji wa habari Tido Mhando itakua inafananaje?

Nako pia, kutokana na tukio la Arusha na aina ya habari inayotolewa na TBC1 tangu kuondolewa kwa Tido Mhando tayari wananchi tumepata jibu kwamba kumbe juhudi zote kumuondoa huyu mtaalam ilikua ni kupisha TBC chombo cha taifa chenye heshima nyingi huko nyuma kujigeuza kuwa TBC-CCM Propaganda.

Njia ya kuipeleka hii TV kwenda kwenye utendaji wa ki-ujima ujima ndio huo umeanza.
 
Back
Top Bottom