Hakuna kitu kibaya katika dunia hii kama kusumbuliwa na umasikini wa mali na roho wakati huo huo hufahamu njia mbadala ya kupambana nao.Mimi naona kila siku watu wanaombewa na kutolewa mapepo hata Mamvi alitabiriwa URAIS na akaambiwa akatoe mali zake zote kwanza
Huyo pastor ndiyo mzushi.Omba dhidi ya roho ya "uzushi"
Hakuna kitu kibaya katika dunia hii kama kusumbuliwa na umasikini wa mali na roho wakati huo huo hufahamu njia mbadala ya kupambana nao.
TB Joshua anapambana na masikini wa mali na roho ambao hawafahamu utajiri wataupata wapi.
Kulipukuwa na umasikini wa mali na roho na makanisa na misikiti pia humea na kurutubika. Mavuno ni mengi lakini wavunaji ni wachache!.
Na utabiri wake usipotimia atatumia kifungu cha Biblia takatifu kujitetea.
Naomba ku uliza ikiwa kuna utabiri wowote amewahi toa ukaja kuwa kweli. Nasubiri jibu tafadhali
Na utabiri wake usipotimia atatumia kifungu cha Biblia takatifu kujitetea.
mbona aonyeshwi mazuri. anaonyeshwa mabaya tu
Naomba ku uliza ikiwa kuna utabiri wowote amewahi toa ukaja kuwa kweli. Nasubiri jibu tafadhali
Acheni uzushi. "Msiwaamini
wale wote watakao sema njooni Yesu Kristu yupo huku" waaminio ktk
Kristu kuweni makini.
Naomba ku uliza ikiwa kuna utabiri wowote amewahi toa ukaja kuwa kweli. Nasubiri jibu tafadhali
Kaburi, TB Joshua si mtabiri ila ni nabii. Yeye anatoa unabii si utabiri. So, usimfananishe kabisa na husein yahya hao ni watu wawili tofauti kabisa.Alivyokuwa anatabili yahya hussein mlikuwa mnasema anatumia majini hila kwa kuwa huyo mwenzenu mnamsifia kabisa na unabii wake wa uwongo.