Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo utakapojua akili za tunaowaita wanaume zetu
Nipo mtaalamu hapa. Nitawachora bureee...bila hata thentiiiNahisi utaomba kumchora masogange au gigy money!
dodoma majengo kwa kisuu niliapa sitaenda tena.niliwapeleka ndugu fulani wakaniomba niwafuate naada ya masaa2 muda ulipofika nikawafuata nilisubiri nje zaidi ya nusu saa hawatoki si nikaamua kuingia ndani looh!balaa wanawake wamejiachia kama jamaa ni mwanamke mwenzao vile.Chuo cha kujifunza kuchora tatuu tafadhali. Natanguliza shukrani.
Anza tu hata wewe mkupuoHizi ajira zikifika Bongo tujuzane tafadhali.
kwani anachorwa mwanaume??Hapa ndipo utakapojua akili za tunaowaita wanaume zetu
Kwani mnalazimishwa kama hupendi kuite michepo tu hakuna shida..! Hatuwezi acha vitu vizuri eti faithfulness tupa huko huo uaminifu.Hapa ndipo utakapojua akili za tunaowaita wanaume zetu