tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
CCM NI CHAMA CHA MAJAMBAZI KIMEZEEKA, KITOKE MADARAKANI-MUNISHI. www.youtube.com/munishiNape,Wewe na Viongozi wenzako wa ccm msichopenda kusikia ni ukweli kwamba ccm imekwisha na itaendelea kwisha, yaani haina mvuto kwa wanachi wameichoka, huo ndio ukweli lazima mkubali sio enzi zile watu sasa wamefumbuka na hawawezi kuendelea kuishi katika lindi la umasikini huku nyinyi mkila nchi na kuwaimbisha ccm yajenga nchi, hiyo haipo kaka na uende ukapeleke ujumbe huko kwa wenzio, sisi ndio tupo kitaa na tunajua kinachoendelea uraiani ndugu.