TAX HOLLIDAY kila shemu vipi kwenye P.A.Y.E MBONA HAMNA.

Kibanga Ampiga Mkoloni

JF-Expert Member
Aug 9, 2007
18,697
8,843
Naomba na wafanyakazi wanaoaanza kazi kwa miaka MITANO(5) ya kwanza wawe wanapewa Tax Holliday na endapo watahamia kwa muajiri mwingine hiwe hivyohivyo mpaka hapo atakapo timiza miaka mitano kwa muajiri mmoja ndio aweze kukatwa hiyo KODI kama Makampuni ya simu na Mahotel makubwa yanavyofanya.

Magufuli juzi kasema haya wakati akishuhudia kusainiwa kwa mikataba mipya saba ya ujenzi wabarabara.

"He called for an end to the tradition of random billboard erection on road reserves, including black spot areas, and said the two years tax holiday extended to big advertisers by municipals and Local Governments Authorities (LGAs) should stop forthwith."


 
Kweli inashangaza mtu fresh from school unaanza kulimwa kodi za kufa mtu.kwa upande mwingine unahitaji kuilipa bodi ya mikopo.
YES WE NEED TAX HOLIDAY!!
 
What I know Tax holiday is granted to Strategic Investors who invest more than 25ml USD and only in Corporate tax (30%) Rest of investors are paying all taxes right away as soon as the project is in full swing.

So PAYE iendelee though the rate need to be reviewed as its burden to employees

If we have any tax consultants in JF can clarify the topic
 
Back
Top Bottom