Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Kuna yeyote ambaye anaweza kutupatia listi ya matawi ya CHADEMA pamoja na idadi ya wanachama wake. Ninaamini katika kufahamu hili inaweza kusaidia kuongeza kasi ya kufungua matawi na watu kujiunga na matawi yaliyo karibu. Lengo ni kufikia mwaka 2015 kuwa na wanachama wengi zaidi.
JIUNGE LEO..........Jiunge na CHADEMA leo!
Naomba kuwasilisha.
JIUNGE LEO..........Jiunge na CHADEMA leo!
Naomba kuwasilisha.