Tawi la chadema na idadi ya wanachama.

Mgombezi

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
610
178
Kuna yeyote ambaye anaweza kutupatia listi ya matawi ya CHADEMA pamoja na idadi ya wanachama wake. Ninaamini katika kufahamu hili inaweza kusaidia kuongeza kasi ya kufungua matawi na watu kujiunga na matawi yaliyo karibu. Lengo ni kufikia mwaka 2015 kuwa na wanachama wengi zaidi.

JIUNGE LEO..........Jiunge na CHADEMA leo!

Naomba kuwasilisha.
 
CDM itapata wanachama ikiacha itikadi na style ya AH kuwaahidi wa TZ ahera ya duniani kuingia madarakani.

AH aliingia kwa gear kama hiyo hiyo wanayotumia CDM wajerumani kwa bahati mbaya wakamuamini na kumpa uongozi kupitia ballot box lakini alicho wafanya baadaye dunia mpaka leo ikisikia jina la AH ina zizima.

CDM wanatumia uniforms za rangi ya NAZI, kasoro ile alama ya swastika, salam ya (peoples power) ni mkono ulionyooshwa kwenda mbele (na wakati mwingine ngumi), wa wa NAZI ni mkono ulionyooka kwenda mbele (Herr H!!!)
 
Kuna yeyote ambaye anaweza kutupatia listi ya matawi ya CHADEMA pamoja na idadi ya wanachama wake.
Hivi wewe uko serious kweli hata Makamba hawezi kuwa na idadi kamili ya matawi yake na wanachama wake kwa vile kila siku matawi mapya yana anzishwa na mengine yanavunjika na kujiunga na kambi nyingine.

Kifupi haitakusaidia kitu kujua idadi ya matawi kama unataka wewe jiunge na uanzishe tawi lako. Tawi langu linaitwa Kwa Zulu Natal.
 
CDM itapata wanachama ikiacha itikadi na style ya AH kuwaahidi wa TZ ahera ya duniani kuingia madarakani.

AH aliingia kwa gear kama hiyo hiyo wanayotumia CDM wajerumani kwa bahati mbaya wakamuamini na kumpa uongozi kupitia ballot box lakini alicho wafanya baadaye dunia mpaka leo ikisikia jina la AH ina zizima.

CDM wanatumia uniforms za rangi ya NAZI, kasoro ile alama ya swastika, salam ya (peoples power) ni mkono ulionyooshwa kwenda mbele (na wakati mwingine ngumi), wa wa NAZI ni mkono ulionyooka kwenda mbele (Herr H!!!)

Ujumbe wako nimuusoma lakini kwa bahati mbaya hauko mahala pake, sote tunazijua hila na mbinu ovu za kutaka kuendelea kula kwa mgongo wa ujinga wetu, mmenoa safari hii
 
CDM itapata wanachama ikiacha itikadi na style ya AH kuwaahidi wa TZ ahera ya duniani kuingia madarakani.

AH aliingia kwa gear kama hiyo hiyo wanayotumia CDM wajerumani kwa bahati mbaya wakamuamini na kumpa uongozi kupitia ballot box lakini alicho wafanya baadaye dunia mpaka leo ikisikia jina la AH ina zizima.

CDM wanatumia uniforms za rangi ya NAZI, kasoro ile alama ya swastika, salam ya (peoples power) ni mkono ulionyooshwa kwenda mbele (na wakati mwingine ngumi), wa wa NAZI ni mkono ulionyooka kwenda mbele (Herr H!!!)

Mbona hueleweki mkuu CDM ina wanachama wengi kuliko unavyofikiri.
 
Asante Quinine kwa kunifahamisha kwamba wewe ni mwanachana na tawi lako; ningependa kufahamu Zulu Natal liko wapi na kama unafahamu walau idadi ya wanachama.
 
CDM itapata wanachama ikiacha itikadi na style ya AH kuwaahidi wa TZ ahera ya duniani kuingia madarakani.

AH aliingia kwa gear kama hiyo hiyo wanayotumia CDM wajerumani kwa bahati mbaya wakamuamini na kumpa uongozi kupitia ballot box lakini alicho wafanya baadaye dunia mpaka leo ikisikia jina la AH ina zizima.

CDM wanatumia uniforms za rangi ya NAZI, kasoro ile alama ya swastika, salam ya (peoples power) ni mkono ulionyooshwa kwenda mbele (na wakati mwingine ngumi), wa wa NAZI ni mkono ulionyooka kwenda mbele (Herr H!!!)
wewe ndo uliyepola ubunge segerea???????
 
CDM itapata wanachama ikiacha itikadi na style ya AH kuwaahidi wa TZ ahera ya duniani kuingia madarakani.

AH aliingia kwa gear kama hiyo hiyo wanayotumia CDM wajerumani kwa bahati mbaya wakamuamini na kumpa uongozi kupitia ballot box lakini alicho wafanya baadaye dunia mpaka leo ikisikia jina la AH ina zizima.

CDM wanatumia uniforms za rangi ya NAZI, kasoro ile alama ya swastika, salam ya (peoples power) ni mkono ulionyooshwa kwenda mbele (na wakati mwingine ngumi), wa wa NAZI ni mkono ulionyooka kwenda mbele (Herr H!!!)

Mnalia lia sana lakini siku zenu zinahesabika! MCC wao wanatekeleza itikadi ya AH hadi sasa watz tumenyamaza wanadhani sisi mabwege....nasema siku zao zinahesabika hao MCC
 
nyantella
Junior Member

Join Date
Fri Dec 2010
Posts
4
Thanks
0
Thanked 0 Times in 0 PostsRep Power
0
 
Back
Top Bottom