lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
NI KWELI KABISA MKUU, LAKINI PIA WATANZANIA WALIOPO NJE WAMEKUTANA NA MAMBO MENGI IKIWA NI PAMOJA NA YALE WALIYOKWISHA YAONA TANZANIA WANAPOKUWA NYUMBANI, THIS IS GOOD RECIPES katika mchakato wa kujenga taifa
kwangu mimi nikiwa mtanzania nayethamini uhuru wa kutoa mawazo na kuanzisha vikundi, sioni ubaya wa suala hili, naikiwezekana watanzania wote walio nje jiungeni kwa pamoja kuweza kutoa mawazo yenu hasa ya mabadiliko, ili tutokomeze ufisadi kabisa. Naamini wote kwa mamoja tukiungana tutaweza, na kila mmoja akitimiza ajibu wa kutetea raslimali za tanganyika ambazo ndizo zinaliwa na mchwa hawa