Tawi la chadema london ni la wauza unga ?

Bull

JF-Expert Member
Nov 4, 2008
1,094
253
Baada ya Ndugu Godbless Lema kukosa msaada ya pesa toka kwa Meya Boris Johson wa London, aliamua kuomba misaada makanisani kwa ajili ya Chadema, J’pili ijayo, Mr. Lema anategemea kufanya harambee ya michango ya chama katika kanisa la Kiswahili pale Westminster.

Kama kawaida ya Lema na chadema, walikurupuka na kuamua kuanzisha tawi la chadema mjini London kwenye baa ya wakenya, ni baa hii ambayo Muheshimiwa Chenge aliitumia ku-sign mikataba fisadi.

Tawi hili la Chadema nimefunguliwa na watu wasio zidi 15 pamoja na ndugu zak, na limefanikiwa kuandikisha wanachama 3 pekee.

Wengi walio hudhuria na kuliongoza tawi hilo ni wauza unga wanaojulikana na MI5 na walevi mashuhuri hapa London walio na kawaida ya kukesha kwenye baa hiyo

Lema na Chama chake, walishindwa kabisa kuwashawishi wasomi na watanzaia makini waliopo London- INASIKITISHA!!!
 
Nilsoma sehemu, walinyimwa misaada wakaambiwa London assembley wametumia pesa nying ku-invest on olympic. hiki kweli ni chama cha wakurupukaji
 
Mamaaaaaaaaa, Mwizi wa Magari anashirikiana na wauza unga, kweli chadema wanampango wa ku-rise fund kuelekea uchaguzi wa 2015 by any means
 
kweli anguko la ccm limeshafika..na waswahili wanasema MWOGA MUONGEZEE UOGA...mnazidi kuwa na woga na hofu zimewajaa mpk mnakuwa hamjielewi.
mnapajua london kwa kuangalia movie tu eeeh?....jana nilikuwepo na mambo yalienda vizuri sana,hakukuwa na fuso la kubeba watu kuwaleta kama mnavyofanya nyie ccm kwenye mikutano yenu....
unashangaa mkutano kufanyika pub?we umeshawahi kufika London?..mi ni muislam na naswalia gadenham heathway,kuna ukumbi tunaswali na mlango mwingine kuna jamaa wanapiga disco hivyo kikubwa ni kujua ulichokifuata
siku ya mkutano ukumbi ulitenganishwa na bar hivyo watu wa waliokuja bar hatukuwa na mawasiliano nao
jaribuni propaganda nyingine lakini kwa hili mmeshindwa....rais wenu anavyofuturisha watu kwenye mahoteli mbona hamji hapa kulalamika?..kazi ndio imeanza london
 
Hatari sana kutafuta waharifu kuwa wanachama najua waharifu siku zote hawawapendi wanao wakamata hivyo wanafikiri kuna Chama au serikari itakayo wakubali? dawa ni kuacha kutumia madawa na makosa mengine ya jinai huta kwazana na serikali yoyote ile>
 
Hatari sana kutafuta waharifu kuwa wanachama najua waharifu siku zote hawawapendi wanao wakamata hivyo wanafikiri kuna Chama au serikari itakayo wakubali? dawa ni kuacha kutumia madawa na makosa mengine ya jinai huta kwazana na serikali yoyote ile>

Hawakufanikiwa kupata wanacham bali niwatatu tu, wakiwemo viongozi waalifu hapa nchini, kwa hiyo chama kinaongozwa na wauza unga, sidhani kama kuna mtanzania atakae kubali kuchukua kadi ya chadema toka kwa ma-dealers

Inasemena Lema kakimbia UK kwa aibu na ame cancell harambee ya kuchangisha makanisani, amekimbilia Germany-TZ
 
Hawakufanikiwa kupata wanacham bali niwatatu tu, wakiwemo viongozi waalifu hapa nchini, kwa hiyo chama kinaongozwa na wauza unga, sidhani kama kuna mtanzania atakae kubali kuchukua kadi ya chadema toka kwa ma-dealers

Inasemena Lema kakimbia UK kwa aibu na ame cancell harambee ya kuchangisha makanisani, amekimbilia Germany-TZ

Mkuu,

Tuletee ushahidi wa madai yako, maana umesema hawa ni wauza unga.

Haya ni madai mazito sana.

Angalia sana unachoandika.
 
Kashafungua matawi saba aliyotangaza atafungua Uingereza?
Kashakutana na Meya wa London kama alivyosema?
 
Mkuu,

Tuletee ushahidi wa madai yako, maana umesema hawa ni wauza unga.

Haya ni madai mazito sana.

Angalia sana unachoandika.


We unaishi wapi? kwa London hawa watu wanaeleweka na hakuna mtanzania makini atakae associate na hawa watu kwa sababu ya sifa zao, Lema alitakiwa kufanya uchunguzi kabla ya kuvamia na kujisalimisha kwa hawa jamaa, as result hakuna wanachama waliojiandikisha zaid ya wenyewe

Simply hawa jamaa wanajulikana uliza wenyeji watakuambia.
 
Baada ya Ndugu Godbless Lema kukosa msaada ya pesa toka kwa Meya Boris Johson wa London, aliamua kuomba misaada makanisani kwa ajili ya Chadema, J'pili ijayo, Mr. Lema anategemea kufanya harambee ya michango ya chama katika kanisa la Kiswahili pale Westminster.

Kama kawaida ya Lema na chadema, walikurupuka na kuamua kuanzisha tawi la chadema mjini London kwenye baa ya wakenya, ni baa hii ambayo Muheshimiwa Chenge aliitumia ku-sign mikataba fisadi.

Tawi hili la Chadema nimefunguliwa na watu wasio zidi 15 pamoja na ndugu zak, na limefanikiwa kuandikisha wanachama 3 pekee.

Wengi walio hudhuria na kuliongoza tawi hilo ni wauza unga wanaojulikana na MI5 na walevi mashuhuri hapa London walio na kawaida ya kukesha kwenye baa hiyo

Lema na Chama chake, walishindwa kabisa kuwashawishi wasomi na watanzaia makini waliopo London- INASIKITISHA!!!
Wangekua wauza unga wanao julikana na MI5 wangekua jela, sio bar.
 
Wangekua wauza unga wanao julikana na MI5 wangekua jela, sio bar.


Mkuu, Pale UK wazee hawavamii watu kama bongo, wanaweza kuwa ktk list ya MI5 zaidi ya miaka kadhaa ndipo ukavamiwa, kwa sasa hivi wenyeji wa London wanwafahamu vizuri na ndio maana wenye heshima zao hawakuhudhuria hata kiakao na sidhani kama chadema watweza kupata wanachama zaidi ya hao viongozi waliojichagua
 
Mkuu, Pale UK wazee hawavamii watu kama bongo, wanaweza kuwa ktk list ya MI5 zaidi ya miaka kadhaa ndipo ukavamiwa, kwa sasa hivi wenyeji wa London wanwafahamu vizuri na ndio maana wenye heshima zao hawakuhudhuria hata kiakao na sidhani kama chadema watweza kupata wanachama zaidi ya hao viongozi waliojichagua
Bila kua mtaalam wa sheria za UK naweza kusema kama
hawavamiwi itakua sababu hakuna ushahidi wa kutosha
Ushahidi ukiwepo watavamiwa na kutiwa ndani mapema
But please carry on, this was just a bracket in the thread
 
We unaishi wapi? kwa London hawa watu wanaeleweka na hakuna mtanzania makini atakae associate na hawa watu kwa sababu ya sifa zao, Lema alitakiwa kufanya uchunguzi kabla ya kuvamia na kujisalimisha kwa hawa jamaa, as result hakuna wanachama waliojiandikisha zaid ya wenyewe

Simply hawa jamaa wanajulikana uliza wenyeji watakuambia.


Madai yako yanafanyiwa kazi, ahsante kwa kutufahamisha, watu wa SOCA wanafuatilia hii.
 
Bila kua mtaalam wa sheria za UK naweza kusema kama
hawavamiwi itakua sababu hakuna ushahidi wa kutosha
Ushahidi ukiwepo watavamiwa na kutiwa ndani mapema
But please carry on, this was just a bracket in the thread


Sawa mkuu, MI5 wanaweza wasiwe na ushahidi wa kutosha kuwapeleka mahakamni,(wanabaki kuwa suspected) lakini cha msingi zaidi community ya watanzania uk, wanawajua wanajishughilisha na nini, hata kama community nao hawana ushahidi wa kuwashtaki, bado inabaki kuwa ni dosari kwa jamaa hawa na baya zaidi nipale wanapopewa madaraka ya chama kama hiki.
 
Sawa mkuu, MI5 wanaweza wasiwe na ushahidi wa kutosha kuwapeleka mahakamni,(wanabaki kuwa suspected) lakini cha msingi zaidi community ya watanzania uk, wanawajua wanajishughilisha na nini, hata kama community nao hawana ushahidi wa kuwashtaki, bado inabaki kuwa ni dosari kwa jamaa hawa na baya zaidi nipale wanapopewa madaraka ya chama kama hiki.

Mkuu haya madai ni mazito sana yaani "serious allegations" na kama wao wanaona hii watafikiria upya mmstakabali mzima wa wao kuwa viongozi wa muda.

Kuna aina mbili za conspirancy, you know? Kuna ile kwamba haki ya watu kufahamu jambo kwa mapana inavurugwa au kupindishwa. Hii tunasema kwa kiingereza ni "to defraud or to corrupt public morals".

Ina ya pili ya "conspirancy" ni pale kufanya makosa mengine kama vile kushirikiana kuvunja benki na kukwapua pesa kwa pamoja iwe watu wawili au zaidi.

Sasa wewe naweza kukuweka katika aina ya kwanza ya "conspirancy" kwamba unajaribu kuondoa moral support ya watu kuhusu jitihada za M4C.

Ntaweza kukuengua tu kwenye orodha kama utaweka ushahidi wa tuhuma zako.
 
Mkuu haya madai ni mazito sana yaani "serious allegations" na kama wao wanaona hii watafikiria upya mmstakabali mzima wa wao kuwa viongozi wa muda.

Kuna aina mbili za conspirancy, you know? Kuna ile kwamba haki ya watu kufahamu jambo kwa mapana inavurugwa au kupindishwa. Hii tunasema kwa kiingereza ni "to defraud or to corrupt public morals".

Ina ya pili ya "conspirancy" ni pale kufanya makosa mengine kama vile kushirikiana kuvunja benki na kukwapua pesa kwa pamoja iwe watu wawili au zaidi.

Sasa wewe naweza kukuweka katika aina ya kwanza ya "conspirancy" kwamba unajaribu kuondoa moral support ya watu kuhusu jitihada za M4C.

Ntaweza kukuengua tu kwenye orodha kama utaweka ushahidi wa tuhuma zako.


Mkuu, soma majibu ya mwali hapo juu, vinginevy mtanipa wasiwasi na uwezo wenu wa kufahamu na uelewa wa wana-chedema
 
Hio ya Mwali nimeiona.

Najaribu kuona uwezo wako wa kutetea hoja yako wewe si umeleta hoja mkuu na si ipo kwenye hoja mchanganyiko?

Lakini kwa kuwa huna uhakika na unauliza tu basi tuiache kama ilivyo na kubakia kuwa ni fimbo ya mbali.
 
Hio ya Mwali nimeiona.

Najaribu kuona uwezo wako wa kutetea hoja yako wewe si umeleta hoja mkuu na si ipo kwenye hoja mchanganyiko?

Lakini kwa kuwa huna uhakika na unauliza tu basi tuiache kama ilivyo na kubakia kuwa ni fimbo ya mbali.


Mkuu, ukisoma vizuri majibu niliyo mjibu mwali yataondoa utata wako, nisingependa kujaza thread kwa kurudiarudia, nakuomba urudi nyuma usome vizuri and then tuendelee

Na wala haya madai si fimbo ya mbali, bila shaka ukiacha ushabiki unaelewa kuwa ufunguzi wa tawi hili la London halikuwa na mafanikio kwa sababu ya waandaaji wanavyoonekana ktk jamii ya wa tz pale uk
 
Back
Top Bottom