Baada ya Ndugu Godbless Lema kukosa msaada ya pesa toka kwa Meya Boris Johson wa London, aliamua kuomba misaada makanisani kwa ajili ya Chadema, Jpili ijayo, Mr. Lema anategemea kufanya harambee ya michango ya chama katika kanisa la Kiswahili pale Westminster.
Kama kawaida ya Lema na chadema, walikurupuka na kuamua kuanzisha tawi la chadema mjini London kwenye baa ya wakenya, ni baa hii ambayo Muheshimiwa Chenge aliitumia ku-sign mikataba fisadi.
Tawi hili la Chadema nimefunguliwa na watu wasio zidi 15 pamoja na ndugu zak, na limefanikiwa kuandikisha wanachama 3 pekee.
Wengi walio hudhuria na kuliongoza tawi hilo ni wauza unga wanaojulikana na MI5 na walevi mashuhuri hapa London walio na kawaida ya kukesha kwenye baa hiyo
Lema na Chama chake, walishindwa kabisa kuwashawishi wasomi na watanzaia makini waliopo London- INASIKITISHA!!!
Kama kawaida ya Lema na chadema, walikurupuka na kuamua kuanzisha tawi la chadema mjini London kwenye baa ya wakenya, ni baa hii ambayo Muheshimiwa Chenge aliitumia ku-sign mikataba fisadi.
Tawi hili la Chadema nimefunguliwa na watu wasio zidi 15 pamoja na ndugu zak, na limefanikiwa kuandikisha wanachama 3 pekee.
Wengi walio hudhuria na kuliongoza tawi hilo ni wauza unga wanaojulikana na MI5 na walevi mashuhuri hapa London walio na kawaida ya kukesha kwenye baa hiyo
Lema na Chama chake, walishindwa kabisa kuwashawishi wasomi na watanzaia makini waliopo London- INASIKITISHA!!!