Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,591
- 112,633
Weeee huko acha kabisaHaha ulishawahi ona mitarimbo ya huko
Weeee huko acha kabisaHaha ulishawahi ona mitarimbo ya huko
Mkuu ww ni ke au me?.kama kidole tu kinaweza kumfikisha mwanamke kileleni..kuna haja gani ya kuongeza ukubwa wa uume wako
Mkuu vipi upande wa dada zetu pia unawasaidia kupunguza naniliu zao...maana inawezekana ndo Chanzo cha hizi dyudyu zetu kuwa fupi.
kama kidole tu kinaweza kumfikisha mwanamke kileleni..kuna haja gani ya kuongeza ukubwa wa uume wako
Mbona Mimi wa Togo Ila kawaida... HahahaWeeee huko acha kabisa
hatariii sana mkuuNilidhani amira ya kuumua
Zinapatikana maduka ya dawa za asili wahi mapema kama na wewe ni muhanga wa hili tatizoHartiti n nn hyo
Bora mie aiseeeHuyu bingwa angepoteza sekunde wakati wa hicho kiungo kinaundwa angekosa kabisa
hartiti cyo hamira?.. hicho kifanyio kishakua maandazi???? tehhh tehSalaam/Shalom.
Natumai mu-wazima nyote. Bila ya kupoteza muda ningependa kutoa hii tiba hapa kwa wale wanaosumbuliwa na tatizo la sehemu zao za siri kuwa ndogo/fupi (hasa kwa wanaume).
Tatizo hili limekuwa likiwakosesha wanaume wenye tatizo hili amani na hata raha ya kuwa na mahusiano na wenza wao. Ni tatizo linalosababisha mahusiano mengi kutodumu na kuathiri sana wengi wao psychologically.
Hupelekea mtu kuamua kuwa mwenyewe pasina mahusiano akihofia kutodumu kwa mahusiano hayo au hata kudhalilishwa mbele za watu hasa anapokuwa na mpenzi asiye mstaarabu au pale mapenzi yanapofika kikomo siri za ndani zote hutolewa hadharani. Mtu huona ni bora kuwa peke au kutafuta ONE NIGHT STAND (machangudoa) au kufanya masturbation ili kumaliza hamu yake wakati bila kujua kwa njia moja au nyingine ndio anazidi kujiumiza na kufanya tatizo kuwa sugu kabisa na kusababisha matatizo mengine kama kulegea kwa uume n.k.
Nini cha kufanya ?.
Sitaki kusema kuwa watu wanione PM ili niwape dawa HAPANA ; Dawa ntaitoa hapahapa na maelekezo yake yote jinsi gani ya kufanya, na kwa mwenye swali lolote ataniuliza kama hajaelewa sehemu au kama atahitaji kusaidiwa kutengeneza hiyo dawa ni sawa pia na ni bure kabisa. Narudia tena ni BURE kabisa coz niko hapa kusaidia.
Sasa, kama utakuwa na ndugu, rafiki, jamaa yako wa karibu au hata kama ni mpenzi wako (kwa wanawake) waweza kumsaidia ili aweze kuondokana na tatizo hilo In Shaa Allah.
Mahitaji :-
1 ). Mafuta ya Zaituni (Olive Oil).
2 ). Hartiti kichupa kidogo.
3 ). Maji ya moto kiasi si sana.
Utayarishaji.
- Chukua mafuta ya Zaituni (Olive Oil) kiasi cha 100ml na Hartiti kiasi cha kichupa kimoja kidogo.
- Changanya vyote kwa pamoja vizuri mpaka vichanganyike sawasawa kabisa, ukishamaliza hapo hatua ifuatayo ni...
Matumizi.
- Jinsi ya kutumia yatakiwa kuchukua mchanganyiko wako na kuanza kuichua dhakari/uume wako kiasi cha kuhakikisha imepata msisimko. Fanya hivyo kiasi cha mara tatu hivi.
- Baada ya hapo iache dhakari/uume wako kwa kiasi cha dakika 5 hadi 10.
- Kisha ioshe kwa maji moto uliyokwisha yaandaa kabla. Baada ya kuiosha tu chukua unga kidogo wa Hartiti kisha ingiza kwenye tundu ya dhakari yako vizuri. Ingiza unga kidogo tu kutokana na tundu yenyewe kuwa ni ndogo hivyo ingiza unga kiasi tu wa Hartiti.
Baada ya dakika 3 hadi 5 kuna mabadiliko utayahisi kuwa dawa yaanza kufanya kazi. Fanya zoezi hili kwa muda wa siku 15 hadi 21.
Kwa yeyote mwenye swali aweza kuniuliza aidha hapa ama pm ni ruksa tu vile upendavyo, na pia nawahakikishia kuwa tutakuwa bega kwa bega na wale ambao ni wagonjwa wa tatizo hili kwa maswali, maoni au ushauri usisite kuniuliza chochote utakachojiskia. Karibuni Sana.
AHSANTE.
Mmh isijekua Togo yani singida, watu wa kule ni shidaMbona Mimi wa Togo Ila kawaida... Hahaha
Nishaiona mi ndo maana hata Cameroon wakicheza mpira lazma niangalie mechi yaoEvelyn Salt waulizwa huku.
Mkuu, hata mwenye V8 angeweza kununua vitz na angefika safari yake kiongozi, ila kuna njia nyingine kupita kwake lazma ukahurumie ka-vitz kako ndugu.
Ila unapokuwa na V8 unakuwa unajiamini kwa asilimia mia moja kiongozi.
Karibu Sana mkuu.
.... Khaah ... Kwa research ulizofanya wapi wakali kibongobongo?Mmh isijekua Togo yani singida, watu wa kule ni shida