Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Mkuu mambo ya pwani hayo
Wakuu hivi tatoo za namna hii zinaruhusiwa bungeni?
Mkuu mambo ya pwani hayo
Wakuu hivi tatoo za namna hii zinaruhusiwa bungeni?
Hina nzuri sana kwa siye watu wa pwani ni chachu ya mambo flani kunako bedi
Anafukiza majini hamna lolote la maana
Ni kweli dada Tina
Mhh! Nimekusoma mkuu but the so called mambo ya pwani yanafanya nini bungeni? kila mtu akipeleka utamaduni wake mjengoni itakuwaje?
$hehe huyu bado mwali kaolewa juzi juzi tu, na imani za kiislamu siunajua lazima mwanamke aonekane alivyo au lazima arembwe kwa kupakwa hina, so sidhani kama mama kakosea.
Wakuu hivi tatoo za namna hii zinaruhusiwa bungeni?
pole wee,wafikiri ni sawa na nyie mlozoea kunuka moshi wa magunzi hata mbele ya wapnz wenu?MWANAMKE UREMBO MAHALA POPOTE HATA SHAMBANI NINI MJENGONI.Anafukiza majini jamna lolote la maana
Mheshimiwa Suupwika .. mi ndo nawasilisha eti! Vijana wa zenji waajiriwe jeshini kwa usawa si tulimpiga mtu kule mpaka kakimbia nchi
Aha! mambo ya "Bedi", mahaba, na sherehe mpaka kwenye Bunge? Hiyo kali kweli kweli. Labda ndiyo maana wanasinzia na kulipuka na Ndiyoooo au "naunga mkono hoja mia kwa mia" wakati hata lililozungumzwa hakulisikia!Hina nzuri sana kwa siye watu wa pwani ni chachu ya mambo flani kunako bedi