Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
- Thread starter
- #81
Hahahaha, hapa ni chit chat mkuu, tunacheka tu, stress zimezidi TZ.Nikiangalia Avatar yako mbona naona mtu tafauti, au umeweka na mkororgo?
Halafu King'asti kakugombeza, "urejeshe surauali ya mdogo wako"; na umejitayarisha kujibu nini dada AshaDii akiiona hii?
Anyway, ninapenda ubuifu wako.
Niliona hizi picha nikaxheka sana, but niliona niwaleteeni tucheke wote.
Ila Anti akiona hii najua siponi bakora, na Kin'gasti kisha fikisha habari.