ahahahhahhahahhahhahah hapana mwalimu wako mie nimemchora kiranja mkuu moyoni mwaya katulia tuli booonge la jimchoro laitwa 143*3Mwalimu wangu kwani umejichora sehem? LOL
ahahahhahhahahhahhahah hapana mwalimu wako mie nimemchora kiranja mkuu moyoni mwaya katulia tuli booonge la jimchoro laitwa 143*3
Leviticus (Mamvo ya Walawi) 19: 27- 28.
Kuna watu wanatoa huduma ya kuchora.... Haiingii akililini mwangu ati mtu mwenye akili anaridhia kuweka maungo, kususani uchi, yake kwa mtu mwingine ili amchore. Ulimbukeni utatumaliza.
Kwani Me haliwi???
Sema Me haliwi kwa meno ila kwa kisu
Kama amechorwa kabla sijawahi kumbandua, nambandua halafu naingia mitini. Kama amechorwa wakati nipo nae tayari, itategemea amechorwa kwa ruksa kutoka kwa nani na kachorwa nini, kama sio ruksa kutoka kwangu uhusiano unakwisha.Kuna utamaduni watu, hususani vijana wa Kitanzania, wameiga kutoka nchi za magharibi wa kuchora alama, jina, n.k sehemu za usiri, husussani kwenye makalio au kwenye mapaja ili kuashiria wanaupendo wa dhati dhidi ya wapenzi wao.
Je ikiwa kama mpenzi wako atachororwa utamchuliaje?
Umenikumbusha mabali sanaaaa Deutoronomy na Numbers!!! Ngoja ni mie nianze kwenda English Mass kama Jokate!!!!!!!!!!!!
Ya name is Latin!!!!!!! Whats the interpretation? jst curious! Are a priest? I could use a priest lol! (jst kidding)
sasa ujichore juma halafu aje kukuoa kasimu mboni itakuwa balaa!
Kuna utamaduni watu, hususani vijana wa Kitanzania, wameiga kutoka nchi za magharibi wa kuchora alama, jina, n.k sehemu za usiri, husussani kwenye makalio au kwenye mapaja ili kuashiria wanaupendo wa dhati dhidi ya wapenzi wao.
Je ikiwa kama mpenzi wako atachororwa utamchuliaje?
Sehemu nyeti umeenda mbali sana
Mie hata mtu akijichora kidoti tu tupa kule
Sembuse ana mijina ya watu sirini??!!
Kwanza namla afu namtema lol
Mmmh! Napita kumbe kuna watu wala watu huku!ngoja na mimi nitafute wa kumla
umenikumbusha 90's nilikuwa na demu wangu Mswiss tulipendana sana tukafikia kupanga kuoana lakini tatizo alikuwa ana tatoo la dushelele karibu na kwa bibi nikaghairi.
Kama amechorwa kabla sijawahi kumbandua, nambandua halafu naingia mitini. Kama amechorwa wakati nipo nae tayari, itategemea amechorwa kwa ruksa kutoka kwa nani na kachorwa nini, kama sio ruksa kutoka kwangu uhusiano unakwisha.
Ni vipi wale wanaotoboa na kuweka hereni au vipini kweny 'K" karibu na clit.?