kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
i wish wa Tanzania wangeona kazi ya (ukatili) wa POLISI wa KENYA au SOUTH AFRICA . wangewaheshimu sana Polisi wetu na kusingetokea haya yanayotokea . katika hizo nchi polisi hana muda hata kidogo wa kubishana na raia . Tanzania raha sana hadi polisi anakubembeleza . unamsomesha anakuelewa . nimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu polisi wanazomewa chuo kikuu mlimani UDSM tena wamevaa uniform na wapo kikazi .