Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Naona hawa ni political accessories pia......imagine ukiwaondoa msimbazi yoote ni jinsi gani Zungu atapungukiwa kura....maana jimbo lake haliwezi kupimwa viwanja vipya na hivo wapiga kura wake watahamia majimbo mengine.......ndio maana haishi kelele wanapotakiwa kuhama hawa watu......na sasa yuko kimya kwenye haya majanga