Loy MX
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 1,253
- 312
nimedadisi sana mwishowe nimegundua CCM ni sikio la kufa... Kamwe haliwezi sikia dawa. CCM ni sawa na Kobe kuanzia gamba lake mwendo wake wanafanania kwa kila kitu na kwa maana hii CCM ina gamba la kobe hawawezi kulivua mpaka kifo na pakatokea wakajivua ujue na kifo hapohapo. Pili staili ya kumchinja kobe huyu inahitaji timing nashukuru CHADEMA wamempatia na sasa wanamchinja kwelikweli. Wana Jf tuendelee kumchambua KOBE huyu