only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...................Kila kona ya hii nchi kwasasa ni malalamiko na vilio visivyokwisha vya watanzania wengi....kila mmoja analalamikia maisha magumu na yanazidi kupanda...Baya zaidi,narudia tena baya zaidi hata viongozi wetu wanafahamu kuwa watanzania wanalalamika lakini hawachukui hatua stahiki..badala yake wanaendelea kufanya vituko siku nenda rudi....
Si ajabu kusikia maneno kama ya spika wa bunge jana..."TUMEONGEZA POSHO KWA WABUNGE KWASABABU YA MAISHA KUWA MAGUMU PALE DODOMA...." Halafu ukapata comments kama hizi kwa watanzania wanafiki,waoga na wajinga....."JAMANI HATA ROMA HAIKUJENGWA KWA SIKU MOJA....." au kusikia hotuba za mkuu wa nchi akisema....
"TUMEJITAHIDI KUNYANYUA UCHUMI NA KUBANA MATUMIZI,TATIZO MAMBO MENGI YANAYOTOKEA NI NGUVU TOKA NJE,YAANI UCHUMI KUYUMBA ULAYA NI TATIZO KUBWA..." Halafu ukasikia comments za mitanzania mijinga "NI KWELI YAANI ULAYA NI TATIZO KUBWA...."
.......................Je,mpaka lini watanzania tutaendelea kuilalamikia CCM badala ya kuchukua hatua...Dharau ya spika kwa wananchi maskini ni dhambi kubwa ambayo mimi nashindwa kuvumilia, moyo wangu unataka kupasuka kwa hasira na huzuni..TUJIULIZE watanzania MPAKA LINI ITAKUWA HIVI? Kukubali viongozi wetu watuchezee akili?
Tumekosa wanaharakati imara akina JUKWAA LA KATIBA wanapelekwa na upepo na wanafikia na maoga...Je tutaendelea kucheka na hawa manyani mpaka lini ili tuje kuvuna mabua?
....................Lowasa nae jana katoa kituko TBC1 ati anasema viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi na dhuluma wawajibike,yaani yeye kashajisafisha muda mrefu,na sasa anawaasa wenzake wachukue uamuzi mgumu kujitoa kwenye chama...
Hii pia ni dharau kwa watanzania,inakuwaje mwizi unatembea mbele ya watanzania na kuwaambia mimi sio mwizi wakati wafahamu kuwa ulivunja nyumba siku fulani ukaiba? si watakuchoma moto haraka sana? sasa hii ni tofauti kwa Tanzania ya sasa..tunaendelea kucheka na hawa watu...shit!!
My take:
Kwa vyovyote vile tatizo la TANZANIA sio CCM ni kwasababu ya Mi-Tanzania mingi minafiki,mioga,mijinga na iliyokata tamaa...
Nawasilisha!!
Si ajabu kusikia maneno kama ya spika wa bunge jana..."TUMEONGEZA POSHO KWA WABUNGE KWASABABU YA MAISHA KUWA MAGUMU PALE DODOMA...." Halafu ukapata comments kama hizi kwa watanzania wanafiki,waoga na wajinga....."JAMANI HATA ROMA HAIKUJENGWA KWA SIKU MOJA....." au kusikia hotuba za mkuu wa nchi akisema....
"TUMEJITAHIDI KUNYANYUA UCHUMI NA KUBANA MATUMIZI,TATIZO MAMBO MENGI YANAYOTOKEA NI NGUVU TOKA NJE,YAANI UCHUMI KUYUMBA ULAYA NI TATIZO KUBWA..." Halafu ukasikia comments za mitanzania mijinga "NI KWELI YAANI ULAYA NI TATIZO KUBWA...."
.......................Je,mpaka lini watanzania tutaendelea kuilalamikia CCM badala ya kuchukua hatua...Dharau ya spika kwa wananchi maskini ni dhambi kubwa ambayo mimi nashindwa kuvumilia, moyo wangu unataka kupasuka kwa hasira na huzuni..TUJIULIZE watanzania MPAKA LINI ITAKUWA HIVI? Kukubali viongozi wetu watuchezee akili?
Tumekosa wanaharakati imara akina JUKWAA LA KATIBA wanapelekwa na upepo na wanafikia na maoga...Je tutaendelea kucheka na hawa manyani mpaka lini ili tuje kuvuna mabua?
....................Lowasa nae jana katoa kituko TBC1 ati anasema viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi na dhuluma wawajibike,yaani yeye kashajisafisha muda mrefu,na sasa anawaasa wenzake wachukue uamuzi mgumu kujitoa kwenye chama...
Hii pia ni dharau kwa watanzania,inakuwaje mwizi unatembea mbele ya watanzania na kuwaambia mimi sio mwizi wakati wafahamu kuwa ulivunja nyumba siku fulani ukaiba? si watakuchoma moto haraka sana? sasa hii ni tofauti kwa Tanzania ya sasa..tunaendelea kucheka na hawa watu...shit!!
My take:
Kwa vyovyote vile tatizo la TANZANIA sio CCM ni kwasababu ya Mi-Tanzania mingi minafiki,mioga,mijinga na iliyokata tamaa...
Nawasilisha!!