Minyoo au kutokujiosha/kukausha vizurii sehemu hiyo baada ya haja kubwa/kuoga au matumizi ya pilipili kwenye chakula inaweza kuwa sababu. Apime choo kuangalia kama kuna minyoo, na kama ipo atapatiwa dawa kuondoa tatizo hilo. ikiwa hakuna minyoo, asitumie pilipili na ajioshe vizuri ,ahakikishe sehemu hiyo ni kavu kila baada ya kujisaidia au kuoga. Pia nguo za ndani ziwe kavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.