Kufanya kitu kile kile, wakati ule ule, sehemu ile ile, yaani leo kama jana kama juzi lazima hamu iishe.
Kuishi kwa mazoea kunapunguza hamu, muishi kwa namna ambayo mpenzi wako hajui kesho kutakuwa na nini katika maisha yenu ya kimahusiano.
Kila siku iwe ni siku mpya hata kama yatafanyika yale yale yafanywe kiutofauti.
Hata kama ni love inaweza ikawa hivyo.wabongo tunasahau kwamba upendo ni kama bustani inahitaji kupaliliwa na kumwagiwa maji.inabidi atafute njia ya kuurudisha ule moto wa penzi uliokuwepo mwanzo..kunauwezekano wanapendana ila wamechokana
Hiyo ni kawaida kabisa. Ni asili ya binadamu kupungukiwa au kuishiwa na hamu ya kitu au vitu fulani. Na hii wala si ngumu kutambua. Katika maisha tu ya kila siku hata wewe mwenyewe hii hukutokea na huhitaji kubadilisha. Sasa ikija kwenye mapenzi sijui kwa nini mizozo huzuka.
Have they been breaking the sixth commandment na ni religious? this can be a contributing factor...after the act u fell xo empty inside and a dislike towards your partner grows..ooops, elmmie nt go far...shed a lil more light to ur problem miss Maswaga (i fil lyk i know u...)ndo niweze kuongea facts and not specualtions!
Kweli kabisa ubunifu ni muhimu katika mapenzi..Kufanya kitu kile kile, wakati ule ule, sehemu ile ile, yaani leo kama jana kama juzi lazima hamu iishe.
Kuishi kwa mazoea kunapunguza hamu, muishi kwa namna ambayo mpenzi wako hajui kesho kutakuwa na nini katika maisha yenu ya kimahusiano.
Kila siku iwe ni siku mpya hata kama yatafanyika yale yale yafanywe kiutofauti.
Hapana sio wanandoa ni wapenzi tu. ila mi naisi uaminifu umepotea ndo maana mapenzi yameisha
Mie nadhani ni kuwa kuna vitu mwenzio hafurahishwi na mwenzie yaani anakuwa bado anamiss kitu hii itaweza kuwa na tabia ya mwenzake akisearch roho yake atajua ni nini as kuna wengine wengi inawatokea ila hawajui sababu ni nini na unakuta
Watu wanaachana wakati wangeelezana ukweli au mmoja kumbadilisha mwenzie mambo yangekuwa shwari
Kama unakuwa na mtu hakupi raha kama maongezi, roho yako inakuwa inamiss xfactor unawish angekuwa hivi vile
Ni mengi mwambie kama anaona anataka kuwa naye milele aangalie
Na yeye ajiangalie anaweza kuwa anatabia zinamfanya mpenzi wake awe alivyo so at times ni walalamikaji waka makosa
Amepata alichokuwa anataka so haoni if there is more, Maudhi pia yanachangia, kukerana mara kwa mara huwa sio kitu kizuri kwenye mahusiano yoyote, so may be hicho kilikuwa kinatokea na yeye alikuwa anachukulia poa