Hansen Nasli
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 883
- 337
Tatizo ni urais wapo watu wabinafsi ambao wanasumbuliwa na makovu ya uchaguzi ambao hawatak kukubali hali,.kama kweli tuna mapenzi mema na nchi hii 2shirikiane kuleta maendeleo na sio manunguniko ya upotoshaji wa wazi wa kuwajenga wananchìadi wanafikia hatua ya kuwa waasi wa nchi yao na kutoheshimu tawala zilizowekwa kihalali na wananchi.MUNGU IBARIKI Tanzania yetu na uzidi kuwaumbua wasioitakia mema nchi yetu