Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,463
- 39,930
Basi mie naomba mwenye kumjua huyu mzee atupe data maana kaelezwa na ndugu Mugisha kwamba dikteta anatoa ma amri tu bila ya kujali .Yeye na u boss kwisha kazi ukichanganya na Uhaya .
Kwani Ngemera kabla ya kuwa balozi alikuwa nani ?
mzee hatuwezi kuonesha prejudice zetu namna hii.. kuchanganya na uhaya ndiyo nini? wengine tumechumbia uhayani.. so tuna maslahi..tushtuane mapema. Vinginevyo si sahihi ku generalize tabia ya mtu mmoja kuifanya ibebe tabia ya kabila zima.