ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,972
- 1,649
'Observation' nilioifanya kwa muda-sio sio mrefu sana-nimegundua kuwa watu wanene/obesse-sio wote-wana tatizo kubwa la kuwa na uwezo 'mdogo' wa kufiiri na kufanya maamuzi. Nimetamani kujua, toka kwa wataalamu, hili tatizo linasababishwa na nini hasa.
Naomba kueleweshwa!
Naomba kueleweshwa!