VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Wakuu kila mara nikipita mitaani na kuona watoto wamejaa mitaani naona "Time Bomb" tunatengeneza majambazi wa kesho na watu ambao hawana skills wala mbele wala nyuma.
Ni mengi yamefanywa kama ifuatavyo:-
Sababu hawa watoto bado ni wadogo inabidi maamuzi magumu yafanyike, inabidi kama jamii tutengeneze homes zenye ulinzi mkali wa kuwaweka watoto huko (kuhakikisha kwamba hawatoroki) na huko wapewe elimu, wafundishwe attitudes nzuri, na skills tofauti (we are loosing a lot of talent) na wakae huko mpaka pale wakiwa wakubwa (graduate ndio waachiwe waingie mitaani) na kama serikali iwape first priority katika kazi tofauti. Na pesa na misaada yote iwe inapelekwa huko, na kuwa na ardhi ya kutosha kuwafundisha kilimo na ufugaji pia.
Ninachomaanisha yaani hiki kiwe ni kama chuo cha kufundisha hawa ndugu zetu maadili mema ili tusaidiane nao kujenga taifa na sio kubomoa
Any more Suggestions Please, sababu what we are doing now don't seem to work., na tusiporekebisha leo kesho itakuwa too late...
Ni mengi yamefanywa kama ifuatavyo:-
- Kutengeneza NGOs za kuwalea watoto (ingawa hizi nyingi zimekuwa kama njia ya wachache kujipatia kipato)
- Jamii kusaidia kulea watoto yatima (kuna jamaa yangu mmoja alijitolea kumchukua mtoto wa mitaani na kumsomesha lakini huyu mtoto alitoroka akamuibia na kurudi mtaani
Sababu hawa watoto bado ni wadogo inabidi maamuzi magumu yafanyike, inabidi kama jamii tutengeneze homes zenye ulinzi mkali wa kuwaweka watoto huko (kuhakikisha kwamba hawatoroki) na huko wapewe elimu, wafundishwe attitudes nzuri, na skills tofauti (we are loosing a lot of talent) na wakae huko mpaka pale wakiwa wakubwa (graduate ndio waachiwe waingie mitaani) na kama serikali iwape first priority katika kazi tofauti. Na pesa na misaada yote iwe inapelekwa huko, na kuwa na ardhi ya kutosha kuwafundisha kilimo na ufugaji pia.
Ninachomaanisha yaani hiki kiwe ni kama chuo cha kufundisha hawa ndugu zetu maadili mema ili tusaidiane nao kujenga taifa na sio kubomoa
Any more Suggestions Please, sababu what we are doing now don't seem to work., na tusiporekebisha leo kesho itakuwa too late...