Yonjolo
Member
- Jan 19, 2012
- 79
- 6
Umeme wa Tanesco haupiti ktk kanisa la FGBF chini ya kiongozi wake Ask. Kakobe. Kama gazeti moja lilivyoripoti leo kwa kichwa 'KAKOBE AFANYA KWELI'
:Ule umeme wa 132kv uliolazimishwa kupita kanisani kwa Kakobe wagoma
:Kwa mwaka mmoja sasa Kakobe ajichimbia kwa maombi ya Prayer Retreat
:Yaelezwa yaliompata Jairo ni madogo kama Ngereja hatotubu.
Wana Jf wenzangu, jambo hili limenigusa sana hasa ukichunguza sana kuna ukweli ndani yake. Matatizo ya umeme hayaishi nchini mbaya zaidi UMEME WAPANDA BEI, huku huduma bado hafifu.
Tukumbuke Ask. Kakobe alitangaza kuwa bila ya Ngeleja na wenzake kutubu tatizo la umeme halitokwisha.
Maoni yangu: Ngeleja na jopo lake wanapaswa kuwajibika kwa kutubu na kurudisha mabango ya kanisa la mtumishi wa Mungu Ask. Kakobe kama walivyofanya ktk makaburi ya machifu kwa kupitisha pembeni nyaya na umeme kupita baada ya kugoma kama ktk kanisa la Kakobe. Serikali inapaswa kuwaheshimu viongozi wa dini kwani amani ya watanzani imekuwepo baada ya uongozi wa Nyerere kuheshimu din
:Ule umeme wa 132kv uliolazimishwa kupita kanisani kwa Kakobe wagoma
:Kwa mwaka mmoja sasa Kakobe ajichimbia kwa maombi ya Prayer Retreat
:Yaelezwa yaliompata Jairo ni madogo kama Ngereja hatotubu.
Wana Jf wenzangu, jambo hili limenigusa sana hasa ukichunguza sana kuna ukweli ndani yake. Matatizo ya umeme hayaishi nchini mbaya zaidi UMEME WAPANDA BEI, huku huduma bado hafifu.
Tukumbuke Ask. Kakobe alitangaza kuwa bila ya Ngeleja na wenzake kutubu tatizo la umeme halitokwisha.
Maoni yangu: Ngeleja na jopo lake wanapaswa kuwajibika kwa kutubu na kurudisha mabango ya kanisa la mtumishi wa Mungu Ask. Kakobe kama walivyofanya ktk makaburi ya machifu kwa kupitisha pembeni nyaya na umeme kupita baada ya kugoma kama ktk kanisa la Kakobe. Serikali inapaswa kuwaheshimu viongozi wa dini kwani amani ya watanzani imekuwepo baada ya uongozi wa Nyerere kuheshimu din