Msema hovyo
Senior Member
- Jul 3, 2011
- 195
- 86
Hatimaye CCM imefika mwisho baada ya kuchukiwa na watu wa kada zote kufuatia tatizo kubwa la umeme linaloikabili nchi. Watu wa rika, kada, kabila na dini zote hivi sasa wanajuta kuipa kura CCM na hasa Kikwete. wengi ninaokutana nao hivi sasa wanatamani uchaguzi urudiwe ili wafanye maamuzi tofauti. hatimaye CCM Imefika mwishowe.