Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
na kama si ugonjwa huo???
wengine wanasema siki inasaidia kutibu gonjwa hilo kama kweli ndilo (isiwe imetiwa pilipili mtoto wa watu akatiwa majirani wakaona viroja)
Ugonjwa unaitwa Trichomoniasis( TV), aende hospitali.
wengine wanasema siki inasaidia kutibu gonjwa hilo kama kweli ndilo (isiwe imetiwa pilipili mtoto wa watu akatiwa majirani wakaona viroja)