pole, kaka huyo dada ni mchafu au akupata mafunzo namna ya kujisafisha kwa kawaida mwanamke anatoa majimaji meupe kwenye uke wake hivyo inatakiwa kila wakati wa kuoga aingize kidole chake cha kati na kupakua kwani huwa ni mzito kama maziwa mgando unapojisafisha vizuri kunakuwa kukavu kabisaa, msaidie kwa kumuelekeza kwani ukikaa kimya kuna maradhi utayapata nawe pia, na imani huyo dada huwa anaenda kumuona dkt kila mara kwa kuwashwa ukeni akipata dawa inaacha mara moja, ila kwa kweli dawa ni kujisafisha kila anapoingia kuoga au hata anapojisaidia haja ndogo. Na wakati anapokuwa katika siku zake ajaribu pia kusafisha kwa kuingiza kidole chake ataona mgando wa damu ukitoka. Chupi zinaharibika badala ya kuwa nyeupe zinakuwa cream.
mimi ni kijana,nina mpenzi ,huyu mpenzi wangu kila tunapokutana in bed nakuwa sina hata raha ya tendo kwani uke unatoa harufu mbaya mno..unakuta mnaanza oral sex mkimaliza mkianza kuchojoana ndo tatizo linapoanza..
Nina imani ili tatizo yeye pia analifahamu kwani tukimaliza tendo raund one huwa anakosa raha kabisa nna imani analifahamu tatizo...
Mimi naogopa hata kumuambia maana nahisi atajisikia vibaya..ningependa kujua dawa yake ni ipi? Au hajisafishi vizuri..
kitchen party tosha kabisa hii
Mimi ni kijana,nina mpenzi ,huyu mpenzi wangu kila tunapokutana in bed nakuwa sina hata raha ya tendo kwani uke unatoa harufu mbaya mno..unakuta mnaanza oral sex mkimaliza mkianza kuchojoana ndo tatizo linapoanza..
Nina imani ili tatizo yeye pia analifahamu kwani tukimaliza tendo raund one huwa anakosa raha kabisa nna imani analifahamu tatizo...
Mimi naogopa hata kumuambia maana nahisi atajisikia vibaya..Ningependa kujua dawa yake ni ipi? au hajisafishi vizuri..
yaliyomo yamo
Kusoma tu subject ya mada almanusra nitapike maana maana napatwa na flashback ya mmoja. Huyu hata nikimwona tu harufu naanza kuisikia. Eeeeeewwwwwww
tutakorofishana sasa hivi...........ehh jaman wewe chakununa usinifanyie ivo..ntakujibu
nipo mbali bwana ....lets mak t 2mrw ma dear mnunaji..
Kitu changu kipo?bla kitu jiandae kwa kinuno!!!!
Kusoma tu subject ya mada almanusra nitapike maana maana napatwa na flashback ya mmoja. Huyu hata nikimwona tu harufu naanza kuisikia. Eeeeeewwwwwww
niaje?
bas ukimwona we badilisha njia...