King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,825
- 24,776
kwa msaada zaidi pia mwambie asafishe kwa kutumia maji ya uvuguvugu atie chunvi kidogo na ndimu au delto aingize vidole hadi ndani ikiwezekana alale chali umsafishe mwenyewe ila atanue miguu ili uweze kusafisha kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ndugu,Mungu ameumba natural system ya kujisafisha kwa mwili wenyewe.Douching,tena na kuongezea vitu kama sabuni,detol na chumvi ndio source hasa ya discharge nyingi kuliko kawaida manake inaondoa balance ya pH inayotakiwa. Anawe mara kwa mara na maji na sabuni,kama inaendelea amuone dr as anaweza kuwa na ugonjwa.Pole,lakini hongera kwa kulichukulia kama ni tatizo lenu kwa pamoja,unaonesha kujali.