Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Wama Jukwaa naombeni msaada
Panya wamevamia nyumba yangu mwezi wa tano huu. Nimejaribu sana kupambana nao kwa namna zote imeshindikana kabisa. Mwanzoni nilijaribu kuwauwa kwa sumu. Kwa hakika walikufa sana. Nyumba ikawa kimya kabisa. Waliporudi mara hii, sumu hata ukiweka nyama hawaikaribii. Wanapita mbali kabisa. NImejaribu gundi ya panya. Mwanzoni walinasa kadhaa na kufa. Lakini sasa hivi nikiweka njia zao ama hawapita au wanaruka!
Ni tatizo kubwa sana. Nawaomba wajuzi wa kupambana na panya wanisaidie.
Natanguliza shukrani sana
Panya wamevamia nyumba yangu mwezi wa tano huu. Nimejaribu sana kupambana nao kwa namna zote imeshindikana kabisa. Mwanzoni nilijaribu kuwauwa kwa sumu. Kwa hakika walikufa sana. Nyumba ikawa kimya kabisa. Waliporudi mara hii, sumu hata ukiweka nyama hawaikaribii. Wanapita mbali kabisa. NImejaribu gundi ya panya. Mwanzoni walinasa kadhaa na kufa. Lakini sasa hivi nikiweka njia zao ama hawapita au wanaruka!
Ni tatizo kubwa sana. Nawaomba wajuzi wa kupambana na panya wanisaidie.
Natanguliza shukrani sana