Tatizo la Nishati Tanzania sio tatizo la mgao pekee bali ni janga la taifa. Hatuwezi kuwa ma maendeleo kwenye nchi yetu bila kutatua tatizo la nishati.
Raisi wa Nchi anatakiwa kukaa na wahusika wote spika, wasomi, consulting companies, wawakilishi wa nchi zinazotusaidia kama Japan and Norway na kuangalia mikataba, upatikanaji na vitu vyote vinavyohusu tatizo la nishati. Vilevile waje na solution ambazo si za kisiasa bali za kusaidia janga hili la taifa. Vyama vya upinzania vilevile vinatakiwa kuhusika kwenye hili.
Raisi wa Nchi anatakiwa kukaa na wahusika wote spika, wasomi, consulting companies, wawakilishi wa nchi zinazotusaidia kama Japan and Norway na kuangalia mikataba, upatikanaji na vitu vyote vinavyohusu tatizo la nishati. Vilevile waje na solution ambazo si za kisiasa bali za kusaidia janga hili la taifa. Vyama vya upinzania vilevile vinatakiwa kuhusika kwenye hili.