Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Kwani wewe ukisema Mwanao wangu ana umjri wa miaka10 anakojoa kitandani kwani utakuwa na aibu gani? kwani humu ndani unamuogopa nani kwenye hii forums? tujaalie ni mimi mwenye huyo Mtoto wangu anae kujoa kitandani Dawa yake ni hii hapa nakupa
Dawa ya Mtoto kuacha kukojoa kitandani Upate Kwato la N'gombe . Mtoto Apande juu ya Mti kisha umpe hilo kwato la N'gombe alinuse kisha hukohuko juu ya Mti akojoe kisha ashuke afanye hiyo dawa kwa muda wa siku 7 asubuhi na jioni kila siku atapona inshallah

Tumia kisha unipe Feedback

hahahaha! Dawa yako kiboko.
 
Ni kabinti ka rafiki yake,na keshasema wanaishi uswazi. Maybe wanalaza watoto wote room moja wanachangia jodoro na wa kwake jamani! si unajua uswazi mtoto ni wa jamii nzima?
kumbe kabinti kako! Haya fanya hivyo, kama kuna dawa wadau watakwambia.
 
Ni kabinti ka rafiki yake, na keshasema wanaishi uswazi. maybe wanalaza watoto wote room moja wanachangia jodoro na wa kwake jamani! si unajua uswazi mtoto ni wa jamii nzima?

Aaaah! mkwe uongo mbaya. Lol. Naona jamaa kaamua kutokomea. Watu wa jJF nao wamestick hapo hapo alipodanganya.
 
Mpigie huyu mama anaitwa bi Khadija huwa anasaidia watoto na hata watu wazima wenye matatizo hayo. Atakuelekeza cha kufanya na dawa ya kutumia. Si mganga wa jadi na hachukui pesa, she just happens to know the cure: 0784448841

Pole sana kwa matatizo.
 
Jamani mimi kuna jamaa yangu ana kabinti kana miaka 10. haka kabinti kana tabia ya kukojoa usiku. Na hali hii ni ya mara kwa mara, naomba msaada wenu ili nimuelekeze huyu jamaa yangu namn y kulikabili hili tatizo.
Natanguliza shukurani.

Kuna dawa aina 2 za kizungu nazifahamu kutibu tatizo hilo. Just PM me, nitakuelekeza.
 
Kwani wewe ukisema Mwanao wangu ana umjri wa miaka10 anakojoa kitandani kwani utakuwa na aibu gani? kwani humu ndani unamuogopa nani kwenye hii forums? tujaalie ni mimi mwenye huyo Mtoto wangu anae kujoa kitandani Dawa yake ni hii hapa nakupa
Dawa ya Mtoto kuacha kukojoa kitandani Upate Kwato la N'gombe . Mtoto Apande juu ya Mti kisha umpe hilo kwato la N'gombe alinuse kisha hukohuko juu ya Mti akojoe kisha ashuke afanye hiyo dawa kwa muda wa siku 7 asubuhi na jioni kila siku atapona inshallah



Tumia kisha unipe Feedback

Kama nakumbuka vizuri hiyo kwato ya ng'ombe huwa inachomwa ili iwe na harufu fulani hivi.
 
Wakuu naomba mnisaidie kujua dawa ya msichana anayekojoa kitandani, maaana wapo wakina dada wengi wanasumbuliwa na tatizo hili, wengine mpaka wanakosa uhuru kwa wapenzi wao wanaogopa kulala kwa wachumba zao, kwa ufupi hili ni tatizo saana.

Ningependa kufahamu tatizo linasababishwa na nini? pamoja na tiba yake!
 
Tafuta mdudu yoyote anayeng'ata sana halafu mwekee huyo mpenzi wako huko kwenye nanilihí..
 
Back
Top Bottom