Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Kwani wewe ukisema Mwanao wangu ana umjri wa miaka10 anakojoa kitandani kwani utakuwa na aibu gani? kwani humu ndani unamuogopa nani kwenye hii forums? tujaalie ni mimi mwenye huyo Mtoto wangu anae kujoa kitandani Dawa yake ni hii hapa nakupa
Dawa ya Mtoto kuacha kukojoa kitandani Upate Kwato la N'gombe . Mtoto Apande juu ya Mti kisha umpe hilo kwato la N'gombe alinuse kisha hukohuko juu ya Mti akojoe kisha ashuke afanye hiyo dawa kwa muda wa siku 7 asubuhi na jioni kila siku atapona inshallah
Tumia kisha unipe Feedback
hahahaha! Dawa yako kiboko.