Asante sana ndugu yangu ushauri wako ni mzuri hasa kwa kunipa hiyo link, lakini yule wa kuuwa kanyoka naona anataka anataka kumchanganya mtoto kiakili.Pole sana mkuu.
Hilo ni tatizo la kiafya. Nakushauri ucheki hii link halafu ikiwezekana ujaribu kuwaona madaktari wajue namna ya kusaidia. Natumaini utapata ufumbuzi.
http://parentingteens.about.com/cs/preteens/a/bedwetting.htm
Mkuu hilo sio tatizo na wala msikae na kufikiria vibaya na kuanza kuangaika huku na huku no just mpeni time na wala msimpige au kumlaumu ni hali ya kawaida kama mtoto wa sister alikuwa anakojoa mpaka alivyofika na miaka 15 then ikafikia akaacha tu...huo sio ugonjwa zaidi ungekaa nae then ungekuwa unafanya kazi ya ziada kumuamsha kila siku usiku ungeona tu kaacha ghafla. So jaribu kufanya hivi mkuuu wala usihofie kama ni ugonjwa huo.
Muone daktari wa watoto atakusaidia. Alternatively, waite marafiki zake anaosoma nao au walio jirani hapo kwenu ile asubuhi mfano jumamosi kisha mtoe mbele yao akiwa amelowa mkojo halafu wasisitize wamcheke sana na kumzomea, nilishawahi kuona mtoto aliyefanyiwa hivi, akalia sana na kuona aibu na baadae akaacha kukojoa mara moja.
Huu ni ukatili wa hali ya juu. Kama unampenda mwanao usimdhalilishe kiasi hiki. Never!!Muone daktari wa watoto atakusaidia. Alternatively, waite marafiki zake anaosoma nao au walio jirani hapo kwenu ile asubuhi mfano jumamosi kisha mtoe mbele yao akiwa amelowa mkojo halafu wasisitize wamcheke sana na kumzomea, nilishawahi kuona mtoto aliyefanyiwa hivi, akalia sana na kuona aibu na baadae akaacha kukojoa mara moja.
Muone daktari wa watoto atakusaidia. Alternatively, waite marafiki zake anaosoma nao au walio jirani hapo kwenu ile asubuhi mfano jumamosi kisha mtoe mbele yao akiwa amelowa mkojo halafu wasisitize wamcheke sana na kumzomea, nilishawahi kuona mtoto aliyefanyiwa hivi, akalia sana na kuona aibu na baadae akaacha kukojoa mara moja.
kuna mimea inaota maeneo ya mkoa wa kagera, akikojoa usiku unampaka, zinawasha, hapo hatarudia tena make akipatwa na mkojo kisoikologia anakumbuka kuwashwa na hivo anaamka mwenyewe. mmea huo unaitwa'engenyi'