BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Technolojia sasa imeshika kasi duniani kwani kila hatua ya maendeleo the technology must get involved kwahiyo ni kitu serious na lazima isimamiwe vyema. Bali cha ajabu hapa kwetu Tanzania failure ya technology imekuwa sehemu ya technologia yenyewe.
1. TRA watu wanashindwa kupata tathmini na kulipa kodi zao ukiuliza unaambiwa tu mtandao uko chini
2. TANESCO huwezi nunua LUKU na huduma nyingine majibu unayopata mtandao uko chini
3. Bank unaweza fukuzia statement siku mbili (NMB Arusha j3 yote ulikuwa huwezi pata statement - Kisa mtandao uko chini
4. NSFF nako hivyo hivyo.
JE HII ITAISHA LINI? AU HILI TATIZO LINATAKIWA KUWA SEHEMU YA MAISHA?
1. TRA watu wanashindwa kupata tathmini na kulipa kodi zao ukiuliza unaambiwa tu mtandao uko chini
2. TANESCO huwezi nunua LUKU na huduma nyingine majibu unayopata mtandao uko chini
3. Bank unaweza fukuzia statement siku mbili (NMB Arusha j3 yote ulikuwa huwezi pata statement - Kisa mtandao uko chini
4. NSFF nako hivyo hivyo.
JE HII ITAISHA LINI? AU HILI TATIZO LINATAKIWA KUWA SEHEMU YA MAISHA?