Tatizo la modem za vodacom kwa huku Mbeya

capito

JF-Expert Member
Nov 16, 2011
418
220
Nimekuwa Mbeya kwa muda wa miezi miwili sasa. Modem za vodacom zinasumbua sana, connection ni tatizo na hata iki connect inakuwa slow sana mpaka inachosha. Tatizo jingine unaweza kununua vodabomba ya siku 30 lakini cha ajabu unakosa connection kabla ya hizo siku 30 kutimia. Nimejaribu kutembelea vodashop za hapa Mbeya kuwaelezea tatizo majibu niliyopewa ni kwamba niandike barua kuelezea tatizo langu ili wao wawe na reference wanapo report makao makuu jambo ambalo sikuona kama ni good customer service.
Wakuu naomba kuuliza kama tatizo hili kwa sasa lipo na sehemu nyingine au ni Mbeya peke yake, pia napenda kama kuna wahusika wa vodacom wafanyie kazi suala hili.
Naomba kuwasilisha
 
sio mbeya tu,hata huku kaskazini ni hivo hivo ...modem inaonesha 'connected' but nothing opens..yani hamna page yoyote inayo-load. Its been a month now..labda kubadili modem tu,manake mambo ya kuandika barua kweli should it take such a long process?
 
kwanin mkuu uwe adikited na voda?hama faster wanaanza kukopulikeiti tena eti mabarua?ya nini?,chukua kitu nyingne..hyo tandao ikirejea unaendeleza kama kawaida..Zantel mwake mwake..
 
Ttcl hawajitangazi lkn wapo, tafuta mordem za ttcl hilo tatizo litakuwa ni historia kwako.
 
Tatizo la poor connection au off-line sio la modems tu. Sisi tunaotumia simu hapa Mbeya limekuwa tatizo kubwa. Connection imekuwa on/off kwa siku nyingi na hata ikiwa on ama speed ya konokono au hakuna loading kabisa. Nikitoa sim card ya voda na kuweka zantel hali ni ileile au nafuu kidogo.
 
Hwapendi tu kusema ukweli kwa hofu ya kupoteza wateja ila tiGO wako open kimtindo kwa pale mby as jamaa alinambia kuwa just wanatangaza tu ktk media ila MBEYA hakuna 3G ndo mana tiGO & Airtel zinazingua kupitiliza bora kidogo vodcom ina speed ya KINYONGA!!MBEYA ni kwetu ila YATAKA MOYO aiseeeeeh....
 
Jamani msilalamike na Voda tu Angalieni ni Network ipi mnapata hasa kwa kuangalia Taa ya modem. Kama ni Green hiyo ni 2G au Edge. Kama ni Blue hiyo ni 3G. Mie naona kama hampati 3g kwenye location mlizopo.
 
Back
Top Bottom