kidonge ki1
Member
- Mar 1, 2012
- 15
- 3
Wana jamvi msaada,leo asubuhi na amka macho yamevmba nakua mekundu yakiwasha na kutoa machoz'na kuna tetesi kwamba mimi sio wa kwanza hata pia jiran yetu nae wiki ilopita alikua na tatizo kama langu ila hakwenda hospital bali aliosha kwa kutumia sabun na baada ya siku tano jicho lake likakoma tatizo hilo,je inawezakua ndo RED EYES nahitaji pia ufafanuzi nn maana ya RÉD EYES