payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
You cant be serious. Hawa ni binadamu ati sio wanyama.
Mwambie mzee ashambulie dakika 90 mfululizo sio anashambulia wiki moja halaf wiki moja analala. ashambulie period mpaka period. Popote akikuona tu akurukie, jikoni, toilet, garden, juu ya magunia ya kolosho, darini, uvunguni, nakazalika. Kama haujapata mimba ndani ya mwezi mmoja basi nachana vyeti vyangu vyote vya mzumbe.
NB: siku za kupata ujauzito ni chache katika mwezi kama mume ni legelege anashambulia na kupumzika anaweza akawa anazimiss kila mwezi.
Nimemaliza