Mkuu hiyo heading yako ungetumia tafsida kidogo. Manake hilo neno "mkund....ni" linaweza kuwaogopesha watu kuingia hapa.... LOL. Ungesema "bomba la kutolea haja kubwa" HahahahaWajameni naomba msaada,nikienda kujisaidia utumbo unatoka kidogo,nikimaliza kujisaidia nausukumia ndani na vidole,unakuwa sawa,msaada wa kutatua hilo tatizo.
Wahi hospitali kwanza... hilo tatizo linatatuliwa kule.. Pole!Wajameni naomba msaada,nikienda kujisaidia utumbo unatoka kidogo,nikimaliza kujisaidia nausukumia ndani na vidole,unakuwa sawa,msaada wa kutatua hilo tatizo.
Pole sana !!!!!!!!!lakini inaonyesha ulikuwaga haupaoshi vizuri panatoka ili upaoshe .
Kuna dawa ya kienyeji ya kukalia kwenye kiti cha kienyeji ( kigoda) asubuhi na jioni kwa muda wa siku 3 tatizo linakwisha kabisa na haritajirudia tena maishani mwako, ni mchanganyiko wa miti kama 3 hivi kwa bahati mbaya sana naukumba mti 1 tuu, ila dawa hii ni very common huku kanda ya ziwa.
Pole sana mkuu.Wajameni naomba msaada,nikienda kujisaidia utumbo unatoka kidogo,nikimaliza kujisaidia nausukumia ndani na vidole,unakuwa sawa,msaada wa kutatua hilo tatizo.