Sababu za tatizo la kutokwa na damu puani (Mhina), jinsi ya kuzuia na tiba yake

Wana jf naombeni kujuzwa hili tatizo linasababishwa na nini na dawa yake nini, kwani huwa linanitokea sana ikifika hasa kipindi cha joto na tangia nimezaliwa nikigusa pua kwa nguvu damu zinatoka mpaka saiv nina miaka 20 lakini bado damu inaweza kutoka muda wowote. NAOMBENI MSAADA WENU WAKUU

Dawa ya kutibu kutoka Damu Puani Mhina.


Kila Tiba kati ya zifuatazo ni zenye kujitegemea. Chagua iliyo rahisi kwako, Isipokufaa ndipo uchague nyengine

TIBA

(1) Changanya tone mbili mbili za mafuta ya habat soda na siki yoyote ile iwe ya Siki ya Zabibu au Siki ya Apple (Tufaha) kwenye maji ya mawaridi.Kisha utie ndani ya pua tone moja kila siku Asubuhi.


(2) Pia mgonjwa unaweza ukawa ananusa siki ya Zabibu au siki ya Tufaha tu na kijiko kimoja cha mafuta ya Habat Soda.

(3) chukuwa Maziwa Fresh ya Ng'ombe uyachemche hadi yamechemka vizuri na uyatie katika glasi, kisha chukuwa yai bichi la kuku wa kienyeji ulipasue na kulimimina ndani ya hayo Maziwa. Koroga mchanganyiko huo wa maziwa na mayai na kuacha hadi yapoe. Kunywa yakishapoa, fanya hivyo na kutumia kwa muda wa siku Mara 3 Asubuhi mchana na usiku kwa muda wa siku 3. Mkuu.


Mafuta ya Habbat Sawda ni tiba kila Maradhi.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili
264px-Nigella_sativa_oil.jpg
 
Dawa ya kutibu kutoka Damu Puani Mhina.


Kila Tiba kati ya zifuatazo ni zenye kujitegemea. Chagua iliyo rahisi kwako, Isipokufaa ndipo uchague nyengine

TIBA


(1) Changanya tone mbili mbili za mafuta ya habat soda na siki yoyote ile iwe ya Siki ya Zabibu au Siki ya Apple (Tufaha) kwenye maji ya mawaridi.Kisha utie ndani ya pua tone moja kila siku Asubuhi.


(2) Pia mgonjwa unaweza ukawa ananusa siki ya Zabibu au siki ya Tufaha tu na kijiko kimoja cha mafuta ya Habat Soda.

(3) chukuwa Maziwa Fresh ya Ng'ombe uyachemche hadi yamechemka vizuri na uyatie katika glasi, kisha chukuwa yai bichi la kuku wa kienyeji ulipasue na kulimimina ndani ya hayo Maziwa. Koroga mchanganyiko huo wa maziwa na mayai na kuacha hadi yapoe. Kunywa yakishapoa, fanya hivyo na kutumia kwa muda wa siku Mara 3 Asubuhi mchana na usiku kwa muda wa siku 3. Mkuu.

attachment.php


Mafuta ya Habbat Sawda ni tiba kila Maradhi. Ukiwa na Swalilolote lile unaweza kunitafuta bonyeza hapa.Mawasiliano

nashukuru mkuu
 
kutokwa na damu puani mara kwa mara ni ugonjwa ama ni nini na dawa yake.naomba mnisaidie
DAWAYA KUTOKWA NA DAMU PUANI (MHINA)

Bloody%20Nose.jpg


Kila Tiba kati ya zifuatazo ni zenye kujitegemea. Chagua iliyo rahisi kwako, Isipokufaa ndipo uchague nyengine

TIBA


(1) Changanya tone mbili mbili za mafuta ya habat soda na siki yoyote ile iwe ya Siki ya Zabibu au Siki ya Apple (Tufaha) kwenye maji ya mawaridi.Kisha utie ndani ya pua tone moja kila siku Asubuhi.


(2) Pia mgonjwa unaweza ukawa ananusa siki ya Zabibu au siki ya Tufaha tu na kijiko kimoja cha mafuta ya Habat Soda.

(3) chukuwa Maziwa Fresh ya Ng'ombe uyachemche hadi yamechemka vizuri na uyatie katika glasi, kisha chukuwa yai bichi la kuku wa kienyeji ulipasue na kulimimina ndani ya hayo Maziwa. Koroga mchanganyiko huo wa maziwa na mayai na kuacha hadi yapoe. Kunywa yakishapoa, fanya hivyo na kutumia kwa muda wa siku Mara 3 Asubuhi mchana na usiku kwa muda wa siku 3. Mkuu




Mafuta ya habat Soda




 
Naombeni msaada nina mtoto wangu ana miaka sita, hivi karibuni ameanza kutokwa na danu puani hasa nyakati za usiku akiwa amelala.Nilimpeleka hospitali Dokta akamwandikia dawa anywe kwa muda wa siku tano ,dozi amemaliza lakini tatizo linaendelea.Kabla damu hazijatoka mwili huwa wa moto hasa maeneo ya kichwani.Lakini pia hazitoki mara kwa mara labdani mara moja ktk siku kumi.
 
Naombeni msaada nina mtoto wangu ana miaka sita, hivi karibuni ameanza kutokwa na danu puani hasa nyakati za usiku akiwa amelala.Nilimpeleka hospitali Dokta akamwandikia dawa anywe kwa muda wa siku tano ,dozi amemaliza lakini tatizo linaendelea.Kabla damu hazijatoka mwili huwa wa moto hasa maeneo ya kichwani.Lakini pia hazitoki mara kwa mara labdani mara moja ktk siku kumi.

Pole kwa mwanao kuumwa! Japo historia haijawa kamilifu mie nakushauri uende hospitali wakafanye vipimo anaweza akawa na coagulopathy disorder,wakamwangalie coagulating factors na vipimo vinavyoendana na hiyo hali nadhani itamsaidia badala ya watu hapa wakuandikie dawa ukanunue ndo hayo unampa dawa hafu tatizo linaendelea kuwepo....huo ndo mchango wangu,asbh njema,ukienda kupima utoe updates if possible utani PM
 
Jaribu kutafuta miba ya nungungu, ichome na moto alafu mvutishe mtoto ule moshi. Kwisha kabisa.
 
Pole kwa mwanao kuumwa! Japo historia haijawa kamilifu mie nakushauri uende hospitali wakafanye vipimo anaweza akawa na coagulopathy disorder,wakamwangalie coagulating factors na vipimo vinavyoendana na hiyo hali nadhani itamsaidia badala ya watu hapa wakuandikie dawa ukanunue ndo hayo unampa dawa hafu tatizo linaendelea kuwepo....huo ndo mchango wangu,asbh njema,ukienda kupima utoe updates if possible utani PM

Nashukuru sana kwa ushauri wako mungu akubariki
 
Pole kwa mwanao kuumwa! Japo historia haijawa kamilifu mie nakushauri uende hospitali wakafanye vipimo anaweza akawa na coagulopathy disorder,wakamwangalie coagulating factors na vipimo vinavyoendana na hiyo hali nadhani itamsaidia badala ya watu hapa wakuandikie dawa ukanunue ndo hayo unampa dawa hafu tatizo linaendelea kuwepo....huo ndo mchango wangu,asbh njema,ukienda kupima utoe updates if possible utani PM

Ahsante kwa ushauri na mungu akunariki sana
 
Nilikuwa na tatizo hilo la kutokwa na damu sanaaa nikiwa mdogo mpaka nilipofika form two/three nilichogundua kuwa ni sababu kwangu mimi ni:-

-kukaa muda mrefu au kucheza muda mrefu mahali penye joto mara nyingi kwenye jua,na nilikuwa naweza kukaa au kucheza mchana ila damu inanitoka usiku nikiwa nimelala.
-Pia unaweza kuona kuwa ni utani ila nilipokuwa naogea maji ya moto au kumimina maji ya moto kichwani damu inanitoka haswa. Pia nilikuwa na tabia ya kuchokonoa pua like everytime.

Sababu: niliambiwa na daktari kuwa kuna watu wana mishipa milaini sana maeneo ya puani ambayo inacollapse na kukatika na hata kuachia flowing ya damu,ila sii watu wote.

WARNING: Usimlaze chali mtu anayetokwa na damu puani kama wafanyavyo watu wengi na hata mimi nilikuwa nafanyiwa hivyo.Hii ni kwasababu ile damu huwa inarudi tumboni na baadaye inasababisha tumbo kuuma ILA inaweza kutokea ikarudi kwny mishipa ya ubongo na ni vibaya mno kwsbb inaweza kusababisha kifo.

SOLUTION: Muinamishe tu huyo mtoto kawaida huku ukimwekea barafu au maji ya baridi sana utosini,kwny paji la uso na hata shingoni kwa upande wa nyuma na damu itakata.Aepuke kukaa mahali penye joto sana na ikiwezekana kama chumbanii anapolala kuna joto aijifunike gubigubi.Hiyo ilinisaidia na mpk sasa sijapata tatizo hilo.
 
Hilo tatizo linaitwa epistaxis linasababishwa na vijishipa vidogo na laini vya damu kupasuka ktk mfumo wa ndani ya pua. Sasa jitahidi kufatilia mtiririko wa joto mwili lake hasa nyakati za usiku na pia tafuta maabara nzuri ili apimwe malaria,mkojo,choo kubwa hafu ni pm.
 
Hilo tatizo linaitwa epistaxis linasababishwa na vijishipa vidogo na laini vya damu kupasuka ktk mfumo wa ndani ya pua. Sasa jitahidi kufatilia mtiririko wa joto mwili lake hasa nyakati za usiku na pia tafuta maabara nzuri ili apimwe malaria,mkojo,choo kubwa hafu ni pm.

Thanks nitazingatia hilo then nitakupa mrejesho
 
dah...thamks kwa wote waliotoa maoni hapa...mtoto wangu poa anatatizo kama hilo...nimepata pa kuanzia...mbarikiwe sana wakuu...
 
Naombeni msaada nina mtoto wangu ana miaka sita, hivi karibuni ameanza kutokwa na danu puani hasa nyakati za usiku akiwa amelala.Nilimpeleka hospitali Dokta akamwandikia dawa anywe kwa muda wa siku tano ,dozi amemaliza lakini tatizo linaendelea.Kabla damu hazijatoka mwili huwa wa moto hasa maeneo ya kichwani.Lakini pia hazitoki mara kwa mara labdani mara moja ktk siku kumi.
nilishawahu ugua tangu nikiwa mtoto mpaka nilipofikia kidati cha 1 siku moja kaka yangu alikuja nyumbani na kunikuta nikiwa natokwa na damu.alichukua chumvi na kuiloweka kwenye maji kisha alinilaza chali na kumimina maji ya chumvi puani yaliniuma sana;alinifanyia hivyo siku 3 asubui na jioni; nimepona kabisa.
 
Nasopharyngeal Cancer, Presha Kubw, .Aspirin Overdose, Haemophilia Etc
 
nilishawahu ugua tangu nikiwa mtoto mpaka nilipofikia kidati cha 1 siku moja kaka yangu alikuja nyumbani na kunikuta nikiwa natokwa na damu.alichukua chumvi na kuiloweka kwenye maji kisha alinilaza chali na kumimina maji ya chumvi puani yaliniuma sana;alinifanyia hivyo siku 3 asubui na jioni; nimepona kabisa.

Mmhh! Hatari!
 
Back
Top Bottom