KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
JF doctor heshima iwe kwenu.
Tafadhali naomba msaada wenu wa kitabibu hili tatizo linasababishwa na nini na nini tiba yake.Mdogo wangu anasumbuliwa sana na tatizo hili alapo nyama tu mwili huanza kuvimba na kutoa vifundovifundo pia hujikuna sana.
Naombeni msaada wenu.
Tafadhali naomba msaada wenu wa kitabibu hili tatizo linasababishwa na nini na nini tiba yake.Mdogo wangu anasumbuliwa sana na tatizo hili alapo nyama tu mwili huanza kuvimba na kutoa vifundovifundo pia hujikuna sana.
Naombeni msaada wenu.