Prime Dynamics
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 551
- 249
Je umesha wahi kupewa cheo kazini kwa walioajiriwa?
Ukipewa cheo kazini inakua kama vile ndiochanzo cha kutengana na wenzio. Ukiwakuta wanapiga story na ukijiunga nao (wakati wa lunch time kwa mfano) ghafla wanakaa kimya au wataanza kuondoka mmoja moja na kuacha mwenyewe. Unaanza kukumbuka siku ambazo mlivyo shirikiana kimawazo kabla ya cheo. Marafiki wengine wataanza kuonyesha wivu.
Ukipewa cheo kazini inakua kama vile ndiochanzo cha kutengana na wenzio. Ukiwakuta wanapiga story na ukijiunga nao (wakati wa lunch time kwa mfano) ghafla wanakaa kimya au wataanza kuondoka mmoja moja na kuacha mwenyewe. Unaanza kukumbuka siku ambazo mlivyo shirikiana kimawazo kabla ya cheo. Marafiki wengine wataanza kuonyesha wivu.