Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake

Nina tatizo la kukosa choo. Kwa zaidi ya mwaka sasa hili tatizo linaendelea. Nimetumia dawa nakaribia kuchoka ila tatizo ni endelevu, nimetumia matunda kama mapapai kila siku ila bado tatizo lipo tu.

Atakayenisaidia nikapona namuahidi zawadi.
 
Nenda Pharmacy wakupe dawa imeandikwa Castro ni mafuta flani hv kwakiswahili ni mafuta ya nyonyo unakunywa kijiko kimoja asubuhi kabla yakula chochote na mchana itakusaidia ,kingine usipende kunywa maji au kitu cha baridi pindi unapotoka kula chakula cha moto, iyo usababisha iyo kitu inaitwa constipation ambayo madhara yake ni kusababisha bawasiri
 
Nina tatizo la kukosa choo kwa zaid ya mwaka sasa ili tatizo laendelea nimetumia dawa nakaribia kuchoka ila tatizo ni endelevu,nimetumia matunda kama mapapai kila siku ila bado tatizo lipo tu,atakayenisaidia nikapona namuahid zawad
Mimi ninaweza kukutibia na ukapona ukihitaji Dawa yangu nitafute inbox ukiweza.
 
Ni tatizo ambalo huwa linajitokeza au ndio liko zaidi ya mwaka


Badili mfumo wa kula pia jaribu kutumia hii Dulcolax
 
Kuna sababu nyingi zinazoweza kuchangia kupata matatizo ya choo.

1. Angalia ni kuanzia lini ulianza kupata matatizo
2. Angalia chakula unachokula, tabia yako ya unywaji wa maji, uwezo wako wa kufikiri, aina ya mazoezi ya viungo unayofanya, choo chako unakipenda kiasi gani. Haja kubwa inatakiwa ifanyike kwenye sehemu unayoipenda, pawe mahali safi, kwani unaweza kutumia nusu saa kama unamatatizo, usiwe sehemu ambayo mwenzako anasubiri nje, inabidi uharakishe hiyo inaweza haribu system yako pia. Kuna watu wanaweka magazeti chooni wanasoma wakati wa tendo.
3. Ni muda gani kawaida unapata choo kila siku? Kubadilisha muda ghafla kunaweza leta psychological effects.
4. Umetumia dawa hivi karibuni kwa mfano, dawa za kuongeza damu mara nyingi zinasababisha ufungaji wa choo, anti acids, anti diarrhoea, inawezekana ulitakata ufunge tumbo la kuhara kumbe funguo bado inaendelea. Pia antihistamines.

Weka kumbumbu ya siku unayopata choo, ulipata kigumu na vipande vipande kama mavi ya mbuzi, ulipata kilaini na kilitoka kwa mfano wa sausage, ulipata uharo? Pamoja na rangi ikiwezekana angalia pia kama kina damu kikitoka kigumu. Hii itamsaidia daktari atakae kutibu kuelewa zaidi hali yako.
 
Kuna sababu nyingi zinazoweza kuchangia kupata matatizo ya choo.

1. Angalia ni kuanzia lini ulianza kupata matatizo
2. Angalia chakula unachokula, tabia yako ya unywaji wa maji, uwezo wako wa kufikiri, aina ya mazoezi ya viungo unayofanya, choo chako unakipenda kiasi gani. Haja kubwa inatakiwa ifanyike kwenye sehemu unayoipenda, pawe mahali safi, kwani unaweza kutumia nusu saa kama unamatatizo, usiwe sehemu ambayo mwenzako anasubiri nje, inabidi uharakishe hiyo inaweza haribu system yako pia. Kuna watu wanaweka magazeti chooni wanasoma wakati wa tendo.
3. Ni muda gani kawaida unapata choo kila siku? Kubadilisha muda ghafla kunaweza leta psychological effects.
4. Umetumia dawa hivi karibuni kwa mfano, dawa za kuongeza damu mara nyingi zinasababisha ufungaji wa choo, anti acids, anti diarrhoea, inawezekana ulitakata ufunge tumbo la kuhara kumbe funguo bado inaendelea. Pia antihistamines.

Weka kumbumbu ya siku unayopata choo, ulipata kigumu na vipande vipande kama mavi ya mbuzi, ulipata kilaini na kilitoka kwa mfano wa sausage, ulipata uharo? Pamoja na rangi ikiwezekana angalia pia kama kina damu kikitoka kigumu. Hii itamsaidia daktari atakae kutibu kuelewa zaidi hali yako.
Asante kwa darasa...!!

Alafu huwa nakukubali sana wewe bibie ngoja nimalizie majukumu hapa, nitakutafuta baadae kaa ukifahamu hilo.
 
piga mi fruits mayai maji maini kuku nyama walimu samaki mchicha maziwa.wacha kula kula MATEMBELE.

SWISSME
 
nina kaka yangu anapata taabu sana kupata choo wakati anakaa siku nne bila kupata choo na kupelekea hadi miguu kukosa nguvu. alishagaenda hospital akaonekana ana vidonda vya tupo wakampa ushauri atumie matunda sana hasa papai lakini haisaidii. tunaombeni ushauri atumie dawa gani ya kumsaidia
 
Jamani naomba msaaada, japo sijuwi kama nitakua inje ya mada. nilitaka msaada kwa anaejua dawa yakumpa mtoto mdogo mwenye umri yamiezi 3. kila anapo jisaidia choo kubwa, anaonyesha kama anapatwa na maumivu, na analia sana. japo haipiti siku 2 anapata choo.sema ndoivo, anaonesha kama anaumia. msaada wenu jamani.
 
Usinywe maji ya friji, yaepuke kabisaaaa, alafu kunywa maji ya vuguvugu baada ya kula to speed up digestion, kula mboga za Majani na matunda kwa wingi haswa mchicha na papai iloiva sana. Kunywa maji kwa wingi.
 
Habarini wanajamvi nilikua nataka kujua chanzo cha kutopata choo kwa muda mrefu madhara yake na jinsi ya kutatua tatizo ilo unaweza ukakuta mtu anakosa choo hata wiki 4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom