Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,076
mpe pole na matatizo hayo yanayomkabili
amesema anakula vyakula vya kawaida ila aliacha pombe miaka mitano iliyopita anakunywa soda tuu
Hata mimi kuna wakati nilikosa kabisa usingizi ila umerudi sasa, namshukuru Mungu. Mwambie ajaribu kulala kila siku at the same time na anywe kikombe cha maziwa ya vugu vugu saa 2 au saa 3. Kama ataweza atafute chai yenye "camomille" ndani, inasaidia pia.
Ila miaka 3 naona ni nyingi mno, maybe anatakiwa kuonana na daktari atakae kua kidogo more serious, ampe ma lexotan na valium kwa muda.
mkuu hata mi inaniwia vigumu kuamini kwa miaka 4 mtu alale lisaa 1 tu ndani ya masaa 24!, duh!! hii kali, wakuu usikubali kuuguwa chochote kwa muda mrefu, tatizo likidumu mwezi mmoja tu uliza yeyote unayemuona!!hapana...miaka 4 lazima angekuwa amekufa maana hypothalumus ingekuwa imeshavurugika sana.....sio lisaa limoja strictly hii nakataa kabisa....aachane na sigara, vinywaji vyote toka kiwandani isipokuwa maji...apumzike ...na hii inatakiwa aifanye kwa taratibu aache kimoja baada ya kingine itamsaidia.....narudia kwa miaka minne mfululizo analala lisaa limoja haiwezekani...
mkuu hata mi inaniwia vigumu kuamini kwa miaka 4 mtu alale lisaa 1 tu ndani ya masaa 24!, duh!! hii kali, wakuu usikubali kuuguwa chochote kwa muda mrefu, tatizo likidumu mwezi mmoja tu uliza yeyote unayemuona!!