Tatizo la kuishiwa nguvu

mperwa

Member
Sep 3, 2009
28
0
Wana JF naomba msaada wa mawazo mimi nina tatizo la kuishiwa nguvu na kizunguzungu, sometime nahisi kupoteza network kabisa na huwa naweza poteza fahamu, nilienda hospital wakanipima kila kitu wakasema hamna shida, but mimi naona siko sawa, baadae wakaja kunipima tena wakasema sukari yangu iko chini na nilitumia dawa ikawa sawa kabisa. Baadae hiyo hali ikarudi tena but nikienda hospital wanasema sina tatizo, sasa nashindwa elewa nini inasababisha hali hii? Na pia nikikichelewa kupata kifungua kinywa asubuhi inakuwa balaa, maana ndio huwa napoteza network kabisa kwa kifupi siwezi vumilia njaa maana ndio huwa nahisi kuzimika kabisa(siwezi kaa zaidi ya saa moja bila kula chochote).
 
mi nilifikiri nguvu za kiume!!!!!!!!!!!!!!!1kama ndio hivo endelea kuwaona various physicians
 
Pole kwa tatizo.mi nina tatizo kama lako ila limenianza muda mfupi,na nilipomuona dr niliambiwa HB imepungua iko chini ya 10.jaribu kufanya vipimo vyote unaweza kupata msaada kwa wataalum wa afya.
 
Asante ndugu zangu, situmii Bima ya afya na pia nilifanya fool Blood picture ndio wakaniambia hiyo sukari ipo chini but hiyo niliitibu japo shida imeanza tena!
 
pOLE SANA KAMA WEWE UNATIBIWA KWA BIMA YA AFYA PLEASE CONTACT ME TEL 0756188490

Kwa nini Bima ya afya; deal?
Maneno ya Nyerere, "Afya hiuzwi".
Nina mashaka iwapo hii itakuwa deal salama kwa mgonjwa na medical professional ethics!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom